Wako anataka nini?

Nipigieeeeeeeeeeeeeee mpenzi nipigieeeeeeeeeeeeee!
Ntakupigia darliiiiiiiiiiiiiiin!

Sihitaji aniletee chochote.Ila anipigie tu akiwa kwa job na kuniambia 'I love you my capeti'
 
Nipigieeeeeeeeeeeeeee mpenzi nipigieeeeeeeeeeeeee!
Ntakupigia darliiiiiiiiiiiiiiin!

Sihitaji aniletee chochote.Ila anipigie tu akiwa kwa job na kuniambia 'I love you my capeti'

Understood. Subiri kidogo ni-do the needful!
 
'mpenzi leo usichelewe kurudi coz nimeku miss kuliko kawaida'
 
leo kunywa bia nane tu - usiku nina maongezi na wewe
 
Honey leo utakunya konyagi nimekuwekea nusu mzinga kwenye friji ila hizo savana usiziguse! zangu hizo!
 
Honey leo utakunya konyagi nimekuwekea nusu mzinga kwenye friji ila hizo savana usiziguse! zangu hizo!
hapo inabidi iwe wikiendi mpwaaz!kwamba kesho yake ni kulala tu...adhawais ITALETA MATATIZOπŸ˜€
 
'mpenzi leo usichelewe kurudi coz nimeku miss kuliko kawaida'


Kauli hii hunifanya nitembee mawinguni hata kama ni juzi tu katoka kunitunuku!πŸ˜€

Jamani hebu muwe mnatuamabia hata kiuongo uongo tu ilimradi mwonyeshe mnamaanisha! Inabooost sana libido zetu!πŸ˜€
 
kauli hii hunifanya nitembee mawinguni hata kama ni juzi tu katoka kunitunuku!:d

jamani hebu muwe mnatuamabia hata kiuongo uongo tu ilimradi mwonyeshe mnamaanisha! Inabooost sana libido zetu!:d
πŸ˜€πŸ˜€
 
Kweli mpwaaz ama naongopa! hakuna kitu chema kama kujua kuwa unahitajika ukatumike!

We unafikiri kwanini tukifumania tunawaka kiasi cha kuua mtu! Unakumbuka hata hizi kauli za kuhitajiwa then unapiga picha kuwa mwizi wako ndio amekuwa akipewa! we acha tu!
 
hehehehehehe!ngoja na mimi...............
 

hahah Maskini_jeuri I can feel you mpwa......bora watudanganye tu ivo ivo au sio...hahahaha
 
Ba Dan.. Usisahau MAZIWA kwa MAMA nanihii.. Yale yamekwisha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…