Wako anataka nini?

Wako anataka nini?

honey leo usisahau kipande cha nguru na kisamvu! pia chukua samaki wa 50-50 wa 4 kwa ajili ya watoto
 
mi nilishastuka kitambo alfu thred inasema unaagiza nn sasa hicho ni cha kuagizwa?

hahaha kuna mmoja apo alisema kuwa huwa anaagizwa azilete, sasa ndugu yangu ndo katia neno kuwa anamvalisha kabisa and am like....kha!😀
 
darling...., ukitoka job nipitie niko MK plzzzzzzzzz!
 
naagizwa pampers, sabuni, mafuta, matunda na beef sausages!!!!!! Halafu niwahi kurudi home!!!!
 
LOL hebu angalia apo juu? yaani sikuwezi B....LOL...ngoja nisubiri jibu nitakudipu

hahaaaaa B ujue ni jioni am just about to break my fast so plz spare me LOL!!!

NAFWA MIE WEE!!! JIBU TENA UTANIKUTA MBELE B!!
 
hahaaaaa B ujue ni jioni am just about to break my fast so plz spare me LOL!!!

NAFWA MIE WEE!!! JIBU TENA UTANIKUTA MBELE B!!

emin to go...go B! hahahahah
 
Hata wanaoishi tandale wana hadhi bana. Inategemea na interest ya mtu wakati huo
 
hahaha kuna mmoja apo alisema kuwa huwa anaagizwa azilete, sasa ndugu yangu ndo katia neno kuwa anamvalisha kabisa and am like....kha!😀


You are like what?

Hakuna cha ajabu hapo ikibidi kumvalisha utamvalisha tu naye pia aweza kukuvalisha; sss wewe upo mamsap mgonjwa na ndio siku zimefika anakuagiza ukanunue na ukinunuaunakuja kumvisha! Ulitaka nani amvishe kaka?
 
pls uje na senene na kumbikumbi wakutosha na vodafasta ya wamasai
 
Back
Top Bottom