Wako mtandaoni wanapiga domo, Mama Yuko Kazini anajenga nchi

Wako mtandaoni wanapiga domo, Mama Yuko Kazini anajenga nchi

Joined
Sep 17, 2021
Posts
39
Reaction score
84
CHADEMA wimegeuka kuwa Chama Cha Twitter, msemaji wao mkuu ni Mari Sarungi. Wako bize sana mtandaoni kupiga domo.

Hawana hoja za maana tena,mijadala yao mikubwa ni mara Tanganyika haipo, mara Ucifu ulifutwa na vitu vingine vya kudandia dandia.

Jambo moja ninalopenda sana kuhusu Serikali ya Sasa, wanapiga kelele lakini ni kama hawasikiki. Ni kama chura anayetumia nguvu nyingi sana kupiga kelele tembo asinywe maji lakini waaapi.

Mfano kwa sasa wakati wakati wako bize huku mtandaoni kupiga domo, Rais Samia anaendelea kufanya kazi kubwa sana (MAMA YUKO KAZINI).

Inapendeza kuona picha nyingi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi zikionesha ujenzi wa madarasa na vituo vya afya. Wanafunzi wataenda shuleni mwezi wa kwanza na watakaa darasanai.

Mikataba ya madini yenye thamani ya zaid trilioni 1 imetiwa saini juzi na mambo mengine yanakwenda vizuri.

Mama Yuko Kazini

FGkm4ZGWYAk9rwv.jpg
 
CHADEMA wimegeuka kuwa Chama Cha Twitter, msemaji wao mkuu ni Mari Sarungi. Wako bize sana mtandaoni kupiga domo.

Hawana hoja za maana tena,mijadala yao mikubwa ni mara Tanganyika haipo, mara Ucifu ulifutwa na vitu vingine vya kudandia dandia.

Jambo moja ninalopenda sana kuhusu Serikali ya Sasa, wanapiga kelele lakini ni kama hawasikiki. Ni kama chura anayetumia nguvu nyingi sana kupiga kelele tembo asinywe maji lakini waaapi.

Mfano kwa sasa wakati wakati wako bize huku mtandaoni kupiga domo, Rais Samia anaendelea kufanya kazi kubwa sana (MAMA YUKO KAZINI).

Inapendeza kuona picha nyingi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi zikionesha ujenzi wa madarasa na vituo vya afya. Wanafunzi wataenda shuleni mwezi wa kwanza na watakaa darasanai.

Mikataba ya madini yenye thamani ya zaid trilioni 1 imetiwa saini juzi na mambo mengine yanakwenda vizuri.

Mama Yuko Kazini

View attachment 2044040
Wewe utakuwa unajua mengi tumashukuru. Hivi hii mikataba ya madini ya trilioni 1 kama ulivyosema (maana tumesikia 1.75) ni kwamba hiyo trilioni moja ndo mnapata nyie au kuna kiwango kingine tofauti na hicho? Kama hujui kama Mimi usijisumbue kujibu.
 
Tunataka raisi atakae jenga wananchi sio kila cku kujenga majengo tu ambayo ni biashara ya selikali na hatuna faida nayo.
 
Unaandika ujinga utadhani hao chadema ndio wanaoongoza serikali.Hizi akili ndogo hivi ulitakiwa uishi karne ya kwanza sio sasa.
 
CHADEMA wimegeuka kuwa Chama Cha Twitter, msemaji wao mkuu ni Mari Sarungi. Wako bize sana mtandaoni kupiga domo.

Hawana hoja za maana tena,mijadala yao mikubwa ni mara Tanganyika haipo, mara Ucifu ulifutwa na vitu vingine vya kudandia dandia.

Jambo moja ninalopenda sana kuhusu Serikali ya Sasa, wanapiga kelele lakini ni kama hawasikiki. Ni kama chura anayetumia nguvu nyingi sana kupiga kelele tembo asinywe maji lakini waaapi.

Mfano kwa sasa wakati wakati wako bize huku mtandaoni kupiga domo, Rais Samia anaendelea kufanya kazi kubwa sana (MAMA YUKO KAZINI).

Inapendeza kuona picha nyingi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi zikionesha ujenzi wa madarasa na vituo vya afya. Wanafunzi wataenda shuleni mwezi wa kwanza na watakaa darasanai.

Mikataba ya madini yenye thamani ya zaid trilioni 1 imetiwa saini juzi na mambo mengine yanakwenda vizuri.

Mama Yuko Kazini

View attachment 2044040
Nini kinakuuma sasa wakati kelele zao haikwamishi programs zenu? Shida yako ni nini hasa? Funguka tukusaidie.
 
Hata dikteta magufuli alishawai kusema kuwa alisukumizwa kugombea urais
Huyo Magufuli alikuwa sahihi.Kwani huyo Magufuli kuna kitu alifanya tofauti na kutuharibia nchi yetu pamoja na kufanya ufisadi wa karne?

Magufuli ndiye fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
109_20211209_202930.jpg
109_20211209_203629.jpg
1638703545.jpg
 
Wewe zaidi ya kupinga kila kitu sidhani kama una jipya.
Samia ndiye aliepinga kujiandaa kuwa Rais.Mimi kuandika alichosema Samia nina kosa gani?

Halafu usinisukumizie mimi kuwa napinga wakati aliepinga kujiandaa kuwa Rais ni samia.Mshambulie Samia ambae kwa kinywa chake amekiri kuwa hakujiandaa kuwa Rais.

MATAGA bhana!Sasa mnanishambulia mimi badala ya kumshambulia Rais wenu ambae amekiri mwenyewe kuwa hakujiandaa kuwa Rais?😂😂😂
 
CHADEMA wimegeuka kuwa Chama Cha Twitter, msemaji wao mkuu ni Mari Sarungi. Wako bize sana mtandaoni kupiga domo.

Hawana hoja za maana tena,mijadala yao mikubwa ni mara Tanganyika haipo, mara Ucifu ulifutwa na vitu vingine vya kudandia dandia.

Jambo moja ninalopenda sana kuhusu Serikali ya Sasa, wanapiga kelele lakini ni kama hawasikiki. Ni kama chura anayetumia nguvu nyingi sana kupiga kelele tembo asinywe maji lakini waaapi.

Mfano kwa sasa wakati wakati wako bize huku mtandaoni kupiga domo, Rais Samia anaendelea kufanya kazi kubwa sana (MAMA YUKO KAZINI).

Inapendeza kuona picha nyingi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi zikionesha ujenzi wa madarasa na vituo vya afya. Wanafunzi wataenda shuleni mwezi wa kwanza na watakaa darasanai.

Mikataba ya madini yenye thamani ya zaid trilioni 1 imetiwa saini juzi na mambo mengine yanakwenda vizuri.

Mama Yuko Kazini

View attachment 2044040

Miaka Zaidi Ya 60 Ya Uhuru Bado Mnashangilia Ujenzi Wa Madarasa Kwa Pesa Ya Mabeberu; Kweli Nyie Shwaini
 
Back
Top Bottom