Kilichotokea ni hv
Lord eyez na Ibra da hustler wao ndo walikua wakwanza kuja dsm na kupata nafas ya kurecord kwa P funk,
Kipindi hicho G nako yuko Porini alikua mtu wa Tour Guard na alikua ashaanza kukata tamaa ya music, Bou nako ye alikua hapo hapo chugastan ..akipambana na issue za Migodini mererani
So kwavile Huku Dsm Lord eyez na Ibra kwa wakati huo ndo walikuepo ikibid wao ndo wafanye ile ngoma ..
Ila kujua kwann alipiga verse mbili Nahc labda n Vibe aliyokua nayo hiyo siku
Hawatuwezi -Classic Hiphop song