Ezekiel Malongo sijui alipo, ila hao wengine nasikia ni RIP!
tumbo risasi...mnamkumbuka ripota huyu wa RTD toka kigoma
Ben Kiko, yupo Tabora, anatangaza radio ya mbunge wa Tabora mjini Aden Rage.. VOT Radio..
Ezekiel Malongo yupo Ikulu na ni mwanachama wa Jamiiforums.