Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Sauti yake ilikuwa nzuri sanaHahahahah mzee Kipara bhana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sauti yake ilikuwa nzuri sanaHahahahah mzee Kipara bhana!
Kabisa mkuu,halafu nahisi walikuwa wana akili sana maana japo ni mchezo wa radio,unapowasikiliza ni kama unawaona kwenye uhalisia wao!mimi naona ni heri niwasikilize hawa kuliko kutazama bongo movie.Maisha kama Kitabu kila zama zinakuja na kurasa mpya za hao magwiji kurasa zao zilipita japo zimeacha kumbukumbu nzuri.
Sana,hivi ndiye yule mzee "babake Swebe" wa Kaole ama ni majina tu?Sauti yake ilikuwa nzuri sana
Daah mkuu Nyaka-One anadai ameshatangulia mbele ya haki!R.I.P.Bi Nyakomba alikuwa anaishi keko machungwa sijui kama bado yupo
HahaaaYaani katupeleka analog.
Hahhahah....hawa walikuwa ni vituko aisee
Madame B,huyo wa kwenye picha (avatar) ni wewe!Aisee kitambo sana .
Yes. Kama siyo 2014 basi ni 2015. Alipata kisukari.Daah mkuu Nyaka-One anadai ameshatangulia mbele ya haki!R.I.P.
Kwenye matangazo nalikumbuka tangazo la "mabati ya galco"Yes. Kama siyo 2014 basi ni 2015. Alipata kisukari.
Daah watu tunakumbuka mengi ya enzi zetu. Nimekumbuka 1992/1993 kulikuwa na tangazo moja hivi la wembe lilikuwa likisikika mara nyingi asubuhi. Katika hilo tangazo mama anakuja na kuita "Baba Kitange" mtoto anajibu "baba naoga mama"..... mengine yamenitoka ila nililipenda sana hilo tangazo enzi za RTD.
HahahahhMadame B,huyo wa kwenye picha (avatar) ni wewe!
Kweli Mungu ni fundi japo hakusoma veta
Nakumbuka tangazo la sabuni ya mshindi,kila asubuhi ninapojiandaa kwenda shule.Kwenye matangazo nalikumbuka tangazo la "mabati ya galco"
Utaumia mkuu,wengine hawali ugali.Madame B,huyo wa kwenye picha (avatar) ni wewe!
Kweli Mungu ni fundi japo hakusoma veta
Aisee..Yes. Kama siyo 2014 basi ni 2015. Alipata kisukari.
Daah watu tunakumbuka mengi ya enzi zetu. Nimekumbuka 1992/1993 kulikuwa na tangazo moja hivi la wembe lilikuwa likisikika mara nyingi asubuhi. Katika hilo tangazo mama anakuja na kuita "Baba Kitange" mtoto anajibu "baba anaoga mama"..... mengine yamenitoka ila nililipenda sana hilo tangazo enzi za RTD.
Alishirikiana na WAHUNI WENZIE,akina COSTA kumkaba na kumuibia baba yake ambaye alikuwa ni MZEE JANGALA, kwenye mchezo ulioitwa "NIACHIENI MWENYEWE!"Mie namkumbuka sana MSHAMU.