King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia kwenu wana JF,
Ebwana nawaulizia hawa wasanii waliowahi kutamba miaka hyo kwenye fani ya music
1.Ras Pompidou mara ya mwisho kumuona ilikuwa kwenye Tamasha lililoandaliwa na Eastafrika Radio 98 aliimba wimbo wa kuisifu EAradio moja ya mashairi eita sevena pointa eita efema is mai choisa(in buju banton voice)
2.Jah Kimbuteh mara ya mwisho kumuona ilikuwa YMCA 93 pale uwanja wa basket alikuwa anatumbuiza tamasha
3.Mac Mooger huyu jamaa sijui yupo wapi nlisikia story zake kwa jamaa wa m/nyamala na kupitia kitabu cha sugu
Wapo wapi hao kwa sasa?
Ebwana nawaulizia hawa wasanii waliowahi kutamba miaka hyo kwenye fani ya music
1.Ras Pompidou mara ya mwisho kumuona ilikuwa kwenye Tamasha lililoandaliwa na Eastafrika Radio 98 aliimba wimbo wa kuisifu EAradio moja ya mashairi eita sevena pointa eita efema is mai choisa(in buju banton voice)
2.Jah Kimbuteh mara ya mwisho kumuona ilikuwa YMCA 93 pale uwanja wa basket alikuwa anatumbuiza tamasha
3.Mac Mooger huyu jamaa sijui yupo wapi nlisikia story zake kwa jamaa wa m/nyamala na kupitia kitabu cha sugu
Wapo wapi hao kwa sasa?