Wako wapi hawa watu?

Benjamini Netanyahu

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
95,871
Reaction score
116,627
Kuna watu wakati najiunga JF walikuwa hawakosekani jukwaani lakini sasa hivi hawaonekeni:-
1. Supermarket
2. Technical
3. Shibe kijijini
Nimewakumbuka sana

Nawasilisha
 
Kuna watu wakati najiunga JF walikuwa hawakosekani jukwaani lakini sasa hivi hawaonekeni:-
1. Supermarket
2. Technical
3. Shibe kijijini
Nimewakumbuka sana

Nawasilisha
Big Mama a.k.a mama kubwa nae amepotea kwa miaka kadhaa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…