OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
MwanaDiwani mkurugenzi wa halmashauri ya.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama zipiID nyingi humu JF ni za wafu kuna nyingine zimerithiwa na nyingine zimekosa warithi.
Upeme,
Uyo yupo Jkt Nw Anapiga kwataMama Facebook
Afu wewe mama nakupenda [emoji8] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji8]Upeme,
Mitkasi,
Ugwadu,
Usanda,
Ubusy,
Ungalangala, umetuweka busy ila tupo pamoko Evelyn Salt.
Si unajua bunge limeanza..hivo masikio yako Dom
Hata nami sema Avatar yako itakufanya unikoseAfu wewe mama nakupenda [emoji8] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji8]
Labda Multiple ID'sSuper market hata sijui kapotelea wapi swahib wangu huyu
Nakubaliana na wewe Mkuu, Kuna idadi kubwa sana ya watu humu JF hawapo hai ingawaje ID zao zipo mpaka leo.ID nyingi humu JF ni za wafu kuna nyingine zimerithiwa na nyingine zimekosa warithi.
Ah ah ah ah ah ah swala Dogo sana hiloHata nami sema Avatar yako itakufanya unikose
NIPOOOOOOOO!
house girlKuna watu wakati najiunga JF walikuwa hawakosekani jukwaani lakini sasa hivi hawaonekeni:-
1. Supermarket
2. Technical
3. Shibe kijijini
Nimewakumbuka sana
Nawasilisha