Wako wapi JF members hawa, Ritz, Lizaboni na Mcubic?

Wametemwa kwenys system.huoni kina ndungai wanataka kuongeza muda? Madarak matamu san japo magu ndii presda mbovu kuliko wote
 
Nasikia jk ndiye aliye mshawishi akamtoa ulaya ili aje bongo alisaidie taifa kwa material uh yake lkn sasa hivi katupiwa virago
 
Nasikia jk ndiye aliye mshawishi akamtoa ulaya ili aje bongo alisaidie taifa kwa material uh yake lkn sasa hivi katupiwa virago
Wote waliorisk position zao nje ili kupata teuzi za kisiasa imekula kwao, huyu na Mchechu wa NHC (by then) ni miongoni mwao.
 
Pia kuna mama mmoja alikuwaga nssf naye as likuwaga nje akarudi hapa mwisho akatoswa
Wote waliorisk position zao nje ili kupata teuzi za kisiasa imekula kwao, huyu na Mchechu wa NHC (by then) ni miongoni mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…