Wako wapi JF members hawa, Ritz, Lizaboni na Mcubic?

Wako wapi JF members hawa, Ritz, Lizaboni na Mcubic?

Wametemwa kwenys system.huoni kina ndungai wanataka kuongeza muda? Madarak matamu san japo magu ndii presda mbovu kuliko wote
 
Nasikia jk ndiye aliye mshawishi akamtoa ulaya ili aje bongo alisaidie taifa kwa material uh yake lkn sasa hivi katupiwa virago
Kuna maeneo nilikuwa na interact naye, trust me jamaa wa kawaida sana upstairs.

Hawa waliopoteza muda mwingi darasani ukimbana sehemu isiyohitaji maelezo ya vitabuni ndio utaona akili yake inapoishia.

Kwa Cv yake ni profesa wa miamba ila hajawahi chimba hata mita 1 chini. Kwa Cv ile kwenda kugombea ubunge ilikuwa ni ishara tosha kuwa jamaa ni 'bakuli'. Na kitendo kile atajutia maisha yake yote kwa kilimuexpose akapata alichokitaka.
 
Nasikia jk ndiye aliye mshawishi akamtoa ulaya ili aje bongo alisaidie taifa kwa material uh yake lkn sasa hivi katupiwa virago
Wote waliorisk position zao nje ili kupata teuzi za kisiasa imekula kwao, huyu na Mchechu wa NHC (by then) ni miongoni mwao.
 
Pia kuna mama mmoja alikuwaga nssf naye as likuwaga nje akarudi hapa mwisho akatoswa
Wote waliorisk position zao nje ili kupata teuzi za kisiasa imekula kwao, huyu na Mchechu wa NHC (by then) ni miongoni mwao.
 
Back
Top Bottom