Upi ulianza kutoka kati ya Jay mo au Mwana fa?Nakumbuka wimbo huu ulifanana Sana na wimbo wa Jay mo Kama unataka demu... Kiasi ikaleta bifu Kati ya wawili hao coz Kila mtu alisema mwenzie kaiba idea...Hadi Leo hatujui idea ilikuwa ya Nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upi ulianza kutoka kati ya Jay mo au Mwana fa?Nakumbuka wimbo huu ulifanana Sana na wimbo wa Jay mo Kama unataka demu... Kiasi ikaleta bifu Kati ya wawili hao coz Kila mtu alisema mwenzie kaiba idea...Hadi Leo hatujui idea ilikuwa ya Nani
Kama kumbukumbu zangu zuko sahihi ulianza kutoka wa Jay moUpi ulianza kutoka kati ya Jay mo au Mwana fa?
Kama kumbukumbu zangu zuko sahihi ulianza kutoka wa Jay mo
Producers wa samani walikuwa na blueprint zao ilikuwa rahisi kumtambua producer kwa beat tu .Studio ilikuwa Bongo Records au kwa Master J ila kwa P.Funk ndio palikuwa hot aisee!!!
Wana wote lazma wafanye beats bongo records!
Itakuwa ndio Huyo Maliki bandawe wa tng squadNdo yule Maliki Bandawe?!!
Au kwa hayati producer Loy BUKUKU,kaka yake Enika na Evan's Bukuku au kwa Enrico sound crafterMawingu studio,Poa Record kwa Amit Bajaj na kwa Miika mwamba!
Beat ilikuwa ya Bonny Luv, sio Majani.Alafu beat kasimamia Baba yake mzazi Paula . kipindi hicho studio zinahesabika
Hawa wa sahizi ni ngumu kuwaelewa yani kelele kibaoProducers wa samani walikuwa na blueprint zao ilikuwa rahisi kumtambua producer kwa beat tu .
Majani
Master j
Amit mento
Miika mwamba
Henrico wa soundcrafters .
Backyard records .
Enzi zetu watoto wa Town shule ziki fungua tuna tulia corridor ya posta Mpya na Zero Brain kuangalia pisi kali
Yes. Huyo huyo.Shose Sinare si ndo yule binti alikuwa kwenye kesi moja na kina Harry Kitilya?
Asilimia kubwa miaka ile shule ilikuwa inazingatiwa sana na wazazi walitilia mkazo kweli kweli.True that!
Shule pia ilikuwa muhimu, ndiyo maana unasikia wengine wapo Vodacom sijui Stanbic mara States.... hizi takataka za kileo zinaishia Instagram tu.
“Kuna mabinti wapo kamili kila idara, familia bora na akili zisizolala... maumbo bomba na sura”.
Enz izo betting bado sana [emoji3].Seven mosha ndie huyu kumbe
Hahaha mzee baba mbona hurushi mavitu yale 🤣 Over 1H au umestaafuEnz izo betting bado sana [emoji3].
Zile wadau wanaziogopa sana.Hahaha mzee baba mbona hurushi mavitu yale [emoji1787] Over 1H au umestaafu
Dogo anaitwa Malik alikuaga na TNG Crew.Dada ake alikuaga poa sanaHalima namfaham sikuwahi kujua Kama alitajwa kwenye hii nyimbo, mdogo ake wa kiume kazaa na Rose ndauka mtoto wa kwanza. Alikuwa anafanyakazi Vodacom.