Wako wapi mabinti waliotajwa na FA kwenye wimbo wa “Mabinti”?

Tusaidie kuuweka hapa chief

Pia kama unazo nyingine za kwenye album ya 'Toleo Lijalo' tuwekee

Nyimbo kama;-

Ungenambia ft Stara
Aminia ft Alberto & Inspector
Wakati umelala ft Jose Mtambo & Suka
Demu wangu wa kwanza unaipata??
 
Shose yuko uraiani. Kesi yao ilikwisha.
 
habari za p funk na kajala mlikuwa mnazipata wapi maana kulikuwa hamna YouTube na Instagram
 
habari za p funk na kajala mlikuwa mnazipata wapi maana kulikuwa hamna YouTube na Instagram
Magazeti ya udaku,vijiweni,shuleni, kwenye matamasha nk. humo kote stori za watu maarufu zinapigwa na zinasambaa kwa kasi.
Unaweza kukuta mtu 1 kaenda kwenye tamasha mf.Diamond jubilee akikuta stori ya umbea au akimuona star na demu wake akirudi mtaani anawakusanya watu anawapigisha stori ,huyo ndiye anaonekana mjanja wa mtaa.
 
Hahahaa p funk na kajala wameanza kutrend zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…