Uchaguzi 2020 Wako wapi Makada kindaki ndaki wa CCM?

Tulia
Walalamikieni mabeberu na Lissu
Waliopanga kuteka mawasiliano ya Tanzania.. wamechokonoa na kushindwa..
Wee mwenyewe unajisukuma na vpn hapa then unaongea upuuzi... Miaka yote mbona hakukuwa na censorship?
 
Sema anayeshindwa kwa haki
 
Wazalendo wote wa Tanzania KURA zao ni kwa Mzalendo mwenzao Magufuli,

Magufuli 5 TENAAA

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Upuuzi mtupu.
 
Magufuli atazoa kura za kutosha, kila mahali watanzania wamejitokeza kufanya kweli. Mbowe na genge lake ndio mwisho wake.
 
Nilijuwa tu nyie ni wale watu wenye maisha mabovu na elimu Duni picha huongea mengi
Utajua mwenyewe,chamsingi nishamkata maini mtetea mashoga.
"Mungu anibariki kwa kupinga ushoga kwa vitendo leo kwakumnyima kura yangu Lissu"
 
Dua la kuku, wanafiki, wazandiku, wafitini na wachonganishi mtachomwa vibaya sana!
 
Majuzi nilikuwa Gisenyi kufata Cast lite(Gisenyi ninahakika unapajuwa) mpakani mwa Goma na Rwanda.
Nimeshusha juzi hapa bandari yetu ya Dar.
Kesho naanza safari nafata nyingine kwenye godown kule Kamenge Burundi.ntafikia kwanza majerwaa kisha nishuke pale beach ya Borabora nikawapapase kwanza mabinti wa kitusi alafu ndo ntaenda kupakia mzigo.

nikitoka Burundi nikishashusha naenda Zambia kufata Ndandash.
Ninasafari ya kutoa mzigo wa nondo kutoka Shayona steel Mwanza pale karibu na usagara na kupeleka Kigari.hii safari ni baada ya kutoka Zambia Inshallah.

Nidhamu ya maisha imewekwa na Mungu kuna wenye kazi na wasio nakazi.
Kuna wenye maisha bora na maisha duni.

Embu nipe uhakika kwanza kwamba Lissu akipewa nchi Tanzania nzima watu wote watapata kazi na hawatakuwa masikini.

Kama wewe jinsi ulivyonishambulia mimi kuwa sina kazi walamaisha mazuri!
 
Kuna mpuuzi hapa asubuhi ananiambia katoka kumpigia magufuli huko kanda ya ziwa ilihali nafahamu kabisa alikua na vigezo ila kanyimwa mkopo na pia hta akimaliza hiyo degree hana uhakika wa kupata mtaji (Kupitia zile 10% za halmashauri) ama kupata ajira sababu Private sector imekufa na serikali imeshindwa kuchochea uchumi.

Then najiuliza nyie watu mnajitambua kweli? Na sio ww tu ni waTZ kibao unakuta kapigika haswaa ila bado ni CCM? Fikiria wakulima waliopigika wa korosho, pamba, wafugaji huko meatu n.k huna ndugu huko? Huna ndugu mkulima ambaye anategemea jembe na serikali yenu imeshindwa kabisa kumsaidia kuattain kilimo cha kisasa? Huna ndugu kabisa aliyeumia na sera mbovu za kilimo?

Well uwe msafirishaji bidhaa nje, hivi kuwa mkweli tu mauzo yameshuka kuliko awamu iliyopita kwa mujibu wa takwimu za BOT. Sasa ww umeathirika pia ila unaenda mpigia kura Magu then tusikie siku mnakuja kulalamika hapa cjui TRA cjui mauzo cjui bureaucracy mpakani na blah blah zingine.

Kwa mentality hizi tutatawaliwa na CCM mpaka Yesu anarudi afu tutakuwa tunatafuta mchawi ni nani wa umaskini wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…