Wee mwenyewe unajisukuma na vpn hapa then unaongea upuuzi... Miaka yote mbona hakukuwa na censorship?Tulia
Walalamikieni mabeberu na Lissu
Waliopanga kuteka mawasiliano ya Tanzania.. wamechokonoa na kushindwa..
hutaki wakuunge mkono we shoga ili muwe wengiUnaunga ushoga ?
Sema anayeshindwa kwa hakiHiki ndicho kinachokwenda kutokea, Amiri Jeshi wetu Mkuu aliitangazia dunia, uchaguzi utakuwa huru na wa haki, amani itatawala, na mshindi ndiye atatangazwa mshindi!.
Hatuutaki ule uhuni wa watu fulani zile chaguzi za nyuma, mtu aliyeshindwa anajitangaza alishinda kura zake zikaibiwa!.
Safari hii ni anayashindwa akubali kushindwa na kumpongeza mshindi.
P
kumbe na wewe ni shoga dahMnakasirika nini.. huku mnayemtetea hakatai kusapoto haya na anayasimamia kwa kishido!!!💯😃😃😃 hadi video za hao watu kufurahi tunaziona kwamba ni wafuasi wake
Upuuzi mtupu.Niko kituoni na washirika wenzangu muda sasa. Kimya kimya lakini hamasa kubwa moyoni.
Iziraeli atupishilie mbali.
Tunataka haki. Inshallah kutokana na haki amani hapa itatamalaki tu.
Sala zetu kote haki na ikatendeke tukiwakumbuka wale wote waliotutangulia kwa kusimama na haki.
Nimekuwa naangalia nyuzi mbali mbali tangia jana, hata huko kwenye mitandao mingine ambako bila VPN ni kweusi. Ma lb7, mataga na mshabiki nguli wa chama mboga mboga wote wamepotea.
Au labda hawataki kutumia VPN kuitikia mapenzi ya chama chetu? Au nao ni mshabiki wa hii mitandao kupotea ikibidi moja kwa moja?
Eeh mola wetu mshindi na akatangazwe mshindi.
Amani na ikawe na kila mpenda haki.
Tunayo siku ndefu leo inshallah.
Haswaaa,tukapumzike nyumbani sasa tungoje JPM wabunge na madiwani wake watangazwe.Hongera mkuu kwa kulitendea haki taifa,
Mimi pia tayari boss.
CCM ushindi ni dhahiri.Haswaaa,tukapumzike nyumbani sasa tungoje JPM wabunge na madiwani wake watangazwe.
Watanzania Twendeni tukamsulubu huyu msaliti wa Nchi kutoka Ubeligiji
Magufuli atazoa kura za kutosha, kila mahali watanzania wamejitokeza kufanya kweli. Mbowe na genge lake ndio mwisho wake.
CCM ushindi ni dhahiri.
Haswaaa,tukapumzike nyumbani sasa tungoje JPM wabunge na madiwani wake watangazwe.
Utajua mwenyewe,chamsingi nishamkata maini mtetea mashoga.Nilijuwa tu nyie ni wale watu wenye maisha mabovu na elimu Duni picha huongea mengi
Utajua mwenyewe,chamsingi nishamkata maini mtetea mashoga.
"Mungu anibariki kwa kupinga ushoga kwa vitendo leo kwakumnyima kura yangu Lissu"
We jamaa ni kibokooo, si ungemuacha tu mbelgiji wa watu 😀Nimetoka na maini ya Lissu
Dua la kuku, wanafiki, wazandiku, wafitini na wachonganishi mtachomwa vibaya sana!Pole nyingi kwa waliopoteza ndugu, marafiki na majirani ambao walistahili kuishi lakini shetani na mawakala wao wamewaondosha katika Ulimwengu huu.
Mungu mwenye huruma na mamlaka yasiyo na mipaka tunaomba awapokee marehemu hawa kwenye ufalme wake wa milele ulio na haki isiyo na mashaka. Mungu mfariji atupe faraja watanzania wote tulioguswa na vifo hivi vilivyosababishwa na shetani ambaye tulidhani ni mwanadamu mwenye hofu ya Mungu.
Mungu wetu, kisasi kipo juu ya mamlaka yako lakini maombi yetu ni kuwa laana na damu za marehemu hawa zikakae kwao walioamrisha mauaji, watekelezaji, mawakala wao na wafurahiao mauaji ya wana wako. Wao wanaua kwa mamlaka na kwa bunduki lakini wewe huhitaji bunduki wala rungu, wala fimbo kuweza kuwaadhibu na kuwakumbusha kuwa juu yao kuna mamlaka iliyo kuu ambayo ni Wewe mwenyewe.
Nyumba zao zikadumu katika laana na mateso. Nao wakakumbuke, wakajutie, na mwishowe wakakusujudie kwa matendo na kauli maana nyumba na familia zao hazitapungukiwa mahangaiko na mateso. Nao wasiotubu, damu za marehemu zikawafuate na kuwalilia wakati wote wa maisha yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majuzi nilikuwa Gisenyi kufata Cast lite(Gisenyi ninahakika unapajuwa) mpakani mwa Goma na Rwanda.Ila waTZ bhana eti nmetoka kumuumiza Lissu hahahhaa. Sasa unadhani mkiteseka miaka 5 mingine huyo Lissu atahustle kma ww?
Ukute hapo hta shughuli maalum huna unashinda vijiweni tu alafu unadai kumuumiza mwenye M.A ya Warwick Hahahah Tz bhana.
Unajikomoa mwenyewe tu na kizazi chako and not Lissu.
Yap,,tushindane hapo kwenye sanduku la kura.
Kuna mpuuzi hapa asubuhi ananiambia katoka kumpigia magufuli huko kanda ya ziwa ilihali nafahamu kabisa alikua na vigezo ila kanyimwa mkopo na pia hta akimaliza hiyo degree hana uhakika wa kupata mtaji (Kupitia zile 10% za halmashauri) ama kupata ajira sababu Private sector imekufa na serikali imeshindwa kuchochea uchumi.Majuzi nilikuwa Gisenyi kufata Cast lite(Gisenyi ninahakika unapajuwa) mpakani mwa Goma na Rwanda.
Nimeshusha juzi hapa bandari yetu ya Dar.
Kesho naanza safari nafata nyingine kwenye godown kule Kamenge Burundi.ntafikia kwanza majerwaa kisha nishuke pale beach ya Borabora nikawapapase kwanza mabinti wa kitusi alafu ndo ntaenda kupakia mzigo.
nikitoka Burundi nikishashusha naenda Zambia kufata Ndandash.
Ninasafari ya kutoa mzigo wa nondo kutoka Shayona steel Mwanza pale karibu na usagara na kupeleka Kigari.hii safari ni baada ya kutoka Zambia Inshallah.
Nidhamu ya maisha imewekwa na Mungu kuna wenye kazi na wasio nakazi.
Kuna wenye maisha bora na maisha duni.
Embu nipe uhakika kwanza kwamba Lissu akipewa nchi Tanzania nzima watu wote watapata kazi na hawatakuwa masikini.
Kama wewe jinsi ulivyonishambulia mimi kuwa sina kazi walamaisha mazuri!
Walisema "wajinga ndiyo waliwao."Wee mwenyewe unajisukuma na vpn hapa then unaongea upuuzi... Miaka yote mbona hakukuwa na censorship?
Hawajawahi kuwa na akili hawa majamaa.Walisema "wajinga ndiyo waliwao."