Wako wapi mapedeshee walioimbwa na kugawa pesa kwa wasanii wa bendi?

Hakika namba zinasomeka vema. Lazima shetani arudie sura yake na malaika tumuone!!!
 
Tumulize lemutuz yeye ndy alikuwa naooo mapedeshe

Ova
 

Attachments

  • IMG_20150802_183247.jpg
    91.1 KB · Views: 146
  • IMG_0264+-+Copy.JPG
    73.7 KB · Views: 136
Kuna pedeshee mwingine a.k.a fisadi Lowasa, alikuwa mpaka anadekiwa barabara ndo apite, naye kayeyuka pia!

Huyo hajamzidi pdg Daudi Alberto bashite [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mtaalamu Wa kununua vyeti
 
Jack Pemba kama Kawa yupo Kimataifa zaidi Yupo Uganda ,anaitwa money bag'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…