Wako wapi mapedeshee walioimbwa na kugawa pesa kwa wasanii wa bendi?

Wako wapi mapedeshee walioimbwa na kugawa pesa kwa wasanii wa bendi?

Unaenda kuangalia onyesha la mpiga mateke wanawake halafu kesho ndio uje upande majukwaani eti ni muokozi wa wanawake,buure kabisa .
tayari kesi imekwisha mjomba , nina tiketi ya onyesho la lusaka , nimechoka na mziki wa injili wa Tanzania , bendi zimekufa
 
Back
Top Bottom