Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
miss chagga piaMiss natafuta,kunamiaka alitamba sana
Hahahaha nimekumbuka Mtambuzi mtu wa maana sana jamaaβ¦aiseee
Kwanini uliamua kuokoka ? πππ au basiβ¦
KongoshoHabari wadau WA jukwaa hili la MMU,
tujikumbushe Kwa kuulizia member hawa baadhi waliochangamusha Jukwaa hili laa MMU NA Jf cheat chat kuanzia 2008-2015
1) Lara
2) watu8
3)Asha dee
4)Mvumbuzi ( kama sjakosea username alikua na story fulani hivi tamu sana za zamani kidogo
5) foxy
Members ni wengi sana Hadi nimewasahau na username zao hili jukwaa lilikua la moto sana, JF WAS THE BEST SANA, Kuna vivulana nahisi ndo vimewakimbiza hawa wazeeπππ
Kwani kuokoka kunahisiana na kumuita mtu jukwaani...Kwanini uliamua kuokoka ? [emoji23][emoji23][emoji23] au basiβ¦
Okeee ππKuna MTU nimemuona mahali!
Dah, hii kesi kubwa ujue, nisamehe saaaana sana Shem wangu WA ukweliOkeee ππ
Shem umekula pilau la Xmas mwenyewe
Kwani kuokoka kunahisiana na kumuita mtu jukwaani...
Unawaza uasherati [emoji1787][emoji1787]
Kuna member kama Kichwa Kichafu Joseverest hawa nipo nao kitambo sana japo JF moderator walinifanyia fitna wakafunga akaunti yangu ya kwanza ambayo niliipenda na member wengi kama GuDume Mtuflani Official Sky Eclat
Jana kapigwa spana ππππNamba 4 yupo twitter π π π
Dead and gone..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari wadau WA jukwaa hili la MMU,
tujikumbushe Kwa kuulizia member hawa baadhi waliochangamusha Jukwaa hili laa MMU NA Jf cheat chat kuanzia 2008-2015
1) Lara
2) watu8
3)Asha dee
4)Mvumbuzi ( kama sjakosea username alikua na story fulani hivi tamu sana za zamani kidogo
5) foxy
Members ni wengi sana Hadi nimewasahau na username zao hili jukwaa lilikua la moto sana, JF WAS THE BEST SANA, Kuna vivulana nahisi ndo vimewakimbiza hawa wazee[emoji3][emoji3][emoji3]
Lizaboni na crew yake wamepotelea wapi ?