Wako wapi Sumbi na Bocha?

Wako wapi Sumbi na Bocha?

Sumbi na botha,
Ndiyo Richie na bishangA
Mwanzoni kikundi kilikuwa kinaitwa Four For You. Kulikuwa na Sumbi, Bocha, Anna Constatine(Waridi) na Thecla Mgaya(Aisha).

Baadaye kiliitwa Nyota Ensemble. Kilikuwa na Anna Constatine(Waridi), Thecla Mgaya(Aisha), Single Mtambalike (Rich) na Raymond Allen(Bishanga). Baadaye wanakikundi waliongezeka.
 
Back
Top Bottom