Natural justice
Member
- Aug 15, 2021
- 30
- 47
Kwa wale waliofuatilia uchaguzi wa Tanzania mwaka 2020 uliomwingiza JPM madarakani wataungana nami kuwa utolewaji wa taarifa za kampeni nchini kupitia ITV ulinogeshwa zaidi na waandishi tajwa hapo juu kwa umahiri wao ktk utoaji wa taarifa.
Ilikuwa ikifika saa mbili usiku kuna watu walikwenda vibanda umiza kuchek newz tena kwa malipo ikizingatiwa kuwa umeme ulikuwa shida ili kuona taarifa za kampeni.
Nataka kufahamu waandishi wale wapo wapi sasa ilhali walikuwa waandishi wazuri sana wa ITV? Binafsi waliukonga moyo langu.
Ilikuwa ikifika saa mbili usiku kuna watu walikwenda vibanda umiza kuchek newz tena kwa malipo ikizingatiwa kuwa umeme ulikuwa shida ili kuona taarifa za kampeni.
Nataka kufahamu waandishi wale wapo wapi sasa ilhali walikuwa waandishi wazuri sana wa ITV? Binafsi waliukonga moyo langu.