Wako wapi wachezaji hawa? Hawaonekani tena tangu Kariakoo derby

Wako wapi wachezaji hawa? Hawaonekani tena tangu Kariakoo derby

Leo umefufuka tokea shimoni Gani?😀
Toka Chasambi afunge goli la msimu hujaonekana
Tukajua labda ulivoenda manyara hukubeba dawa zako za pressure ya kupanda
Wewe mkimbizi...nilikua nao bungeni nikawaaga vzr...ila kwa sbb nyie ni wanga wachawi wakubwa mmefanya ya kufanya kule...
Presha ipo ngangari vipi ww ugonjwa wako wa ngiri huwa haushtuki na kupata maumivu ukifungwa...hahahah
 
Wewe mkimbizi...nilikua nao bungeni nikawaaga vzr...ila kwa sbb nyie ni wanga wachawi wakubwa mmefanya ya kufanya kule...
Presha ipo ngangari vipi ww ugonjwa wako wa ngiri huwa haushtuki na kupata maumivu ukifungwa...hahahah
😅😂😃Nina imani msimamo wa ligi ulitunza screenshot iwe inakufariji kuwa Kuna kipindi timu lako liliongoza ligi,
Maana hapo hamkai tena
 
Back
Top Bottom