Wako wapi wachezaji hawa? Hawaonekani tena tangu Kariakoo derby

Kijili Mzee wa kujiweka mwenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Leo umefufuka tokea shimoni Gani?πŸ˜€
Toka Chasambi afunge goli la msimu hujaonekana
Tukajua labda ulivoenda manyara hukubeba dawa zako za pressure ya kupanda
Wewe mkimbizi...nilikua nao bungeni nikawaaga vzr...ila kwa sbb nyie ni wanga wachawi wakubwa mmefanya ya kufanya kule...
Presha ipo ngangari vipi ww ugonjwa wako wa ngiri huwa haushtuki na kupata maumivu ukifungwa...hahahah
 
Wewe mkimbizi...nilikua nao bungeni nikawaaga vzr...ila kwa sbb nyie ni wanga wachawi wakubwa mmefanya ya kufanya kule...
Presha ipo ngangari vipi ww ugonjwa wako wa ngiri huwa haushtuki na kupata maumivu ukifungwa...hahahah
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜ƒNina imani msimamo wa ligi ulitunza screenshot iwe inakufariji kuwa Kuna kipindi timu lako liliongoza ligi,
Maana hapo hamkai tena
 
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜ƒNina imani msimamo wa ligi ulitunza screenshot iwe inakufariji kuwa Kuna kipindi timu lako liliongoza ligi,
Maana hapo hamkai tena
Subirini kufurahishwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…