Wako wapi waigizaji Bishanga, Aisha na Waridi?

Wako wapi waigizaji Bishanga, Aisha na Waridi?

Baadhi yetu wenye uhenga mdogo tulibahatika kufuatilia igizo la mambo hayo lililokuwa likirushwa na televisheni kongwe ya ITV.

Katika Igizo hilo mwanzoni japo nilikuwa mdogo nakumbuka walikuwepo waigizaji maarufu kipindi hicho cha miaka ya 1997-2000 (kama nipo sijakosea).

Waigizaji hao ni Bishanga Bashaija, Richie Richie, Aisha na Waridi.

Richie (Single Mtambalike) huwa tunamwona, je hao waigizaji wengine wako wapi hivi sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama Richie ndo huyu wa bongo movie basi jamaa kaenda sana umri na anapaswa kuheshiwa na bongo movie wote


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua anajiita jina refu kweli Bishanga Bashaija Tnti na Ntale Centibod sijui ilikua ndo hivo au nilikua najitungia enzi hizo utoto dah kweli nishakua muhenga ngoja nihame kwa mshua sasa😂😂😂😂

Bishanga basheija bantamaroko tinti na ntale!!
 
Kama anao ule miaka 2000 mpaka Leo anadunda basi hongera zake.

Maana ule ulikuwa ukiupata tu siku mbili teke tumeshakusahau tofauti na huu wasasa.
Alifanya Deal na Shigongo na Mrisho wauze Magazeti maana aliwekwa "FENTI FORD".
 
Baadhi yetu wenye uhenga mdogo tulibahatika kufuatilia igizo la mambo hayo lililokuwa likirushwa na televisheni kongwe ya ITV.

Katika Igizo hilo mwanzoni japo nilikuwa mdogo nakumbuka walikuwepo waigizaji maarufu kipindi hicho cha miaka ya 1997-2000 (kama nipo sijakosea).

Waigizaji hao ni Bishanga Bashaija, Richie Richie, Aisha na Waridi.

Richie (Single Mtambalike) huwa tunamwona, je hao waigizaji wengine wako wapi hivi sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 1549434917913.png
    1549434917913.png
    247.9 KB · Views: 60
Baadhi yetu wenye uhenga mdogo tulibahatika kufuatilia igizo la mambo hayo lililokuwa likirushwa na televisheni kongwe ya ITV.

Katika Igizo hilo mwanzoni japo nilikuwa mdogo nakumbuka walikuwepo waigizaji maarufu kipindi hicho cha miaka ya 1997-2000 (kama nipo sijakosea).

Waigizaji hao ni Bishanga Bashaija, Richie Richie, Aisha na Waridi.

Richie (Single Mtambalike) huwa tunamwona, je hao waigizaji wengine wako wapi hivi sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
picha mwezi wa tisa 2018 akiwa na mwakyembe tukuyu
1549435535973.png
1549435535973.png
mbeya

1549435535973.png
 
Back
Top Bottom