Wako wapi walinzi wa Gaddafi "The Amazonians"?

Wako wapi walinzi wa Gaddafi "The Amazonians"?

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
Kwa wale tuliofanikiwa kukutana na hivi vibinti shujaa atakubaliana na mimi kuwa was one of the best elite people.

Ukipitia guideline ya mazoezi yao unapata picha kuwa ni moja ya vikosi vilivyojengwa kizalendo, kimikakati na kiulinzi wa kisasa.

Nakumbuka yule mmoja alivyotengeneza human shield kuzuia Ghadafi asiuawe na risasi ikamuua yule bidada.

Pia nakumbuka how walivyokuwa heavily armed walipotua Nigeria na kuamua kutembea KM nyiiingi kwa miguu na raisi kwenda kumuona rais Obasanjo japo walizuiwa ili kulinda diplomasia. Pamoja na sifa ya kuwa mabikira, warembo na waliojengeka, walikuwa trusted kuwa tayari kumlinda raisi mpaka umauti.

Sasa kwa wajuzi wa mambo, hivi hawa wadada waliishia wapi? Je, walikufa wote in battle?}if no, wako wapi na is it possible kukutana na hata mmoja kwa sasa?
 
Hata kama kuna aliebakia nani ajitokeze ambae hajipendi wakati regime ilishabadilika.....
 
1470105434596.jpg
1470105441180.jpg
 
Tujuzeni jamani maana nilikuwa nawatamani kweli..
I wish nimuoe mmoja
 
kwan kesi ya Islam. iliishia wapi!? yukwapi kwa sasa maana sijasikia habar zake kitambo sana
 
Mkuu hao ladies bado ni muhimu sana kwa shirika la intelligence libya, Bado wanatumika japo si kiulinzi tena kivingine, Mmoja nilisikia serikali ya marekani ilimfadhili akapige kitabu usa nafikiri atakuwa huko..m!
 
Mmoja (kwa taarifa zisizo rasmi) yupo nchini Tanzania aliolewa na mtu flani hivi..!!
 
kesi iliisha kama wiki tatu zilizopita,sidhani kama ilisikilizwa,mara ya mwisho kusikia habari zake alikuwa aachiwe huru,ilikuwa aende uingereza,akagoma,bado yupo libya
duuuh aiseee ntafurah kama atakua yupo huruuuu
 
Hao walinzi walikuwa Wagalatia nini?, mbona hawavai Hijab? Au hapo deen iliruhusu?
wakati wa gadaf,libya ilikuwa secular,hapakuwa na sherikali ya kama za saud arabia
 
Back
Top Bottom