Wako wapi waliodai Tume ya Katiba haina weledi na wala si huru!??

Wako wapi waliodai Tume ya Katiba haina weledi na wala si huru!??

Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!

Kwakweli kuna wakati huwa napata wasiwasi juu ya Uzalendo wenu ninyi viongozi mliopata nafasi za kuongoza hili jahazi. Kuna mambo ya kuweka Ushabiki si katika hili, sidhani kama uliyaelewa malalamiko yaliyotolewa. I am very disappointed
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!


Je na Mabaraza ya CCM mnajipanga kufanya nini?.Ungekaa kimya ungeonekana au kuhesabika sehemu ya Waungwana!.

Ube tupe majibu ya haya;

1.Kwanini mnaogopa Serikali ya majimbo?

2.Nini maoni yako hapa;
Tume baada ya kupitia maoni ya Wananchi, inapendekeza Rais abaki na kinga kama ilivyo sasa na anaweza kushitakiwa na Bunge kama ilivyo Katiba ya sasa
.
Je mnataka kulinda hili liendelee siyo!

3.Ebu taja maeneo ya Uweledi unaozungumzia au kudhani Rasimu hii ya katiba is 100% correct what Tanzanians wanted?

NB.
Niweke wazi kuwa kwa kiasi chake tume imejitahidi lakini bado kuna maeneo ya Msingi kabisa wamevurunda na ninawasiwasi ni kwa maelekezo ya Chama Chako.

1.Muundo wa Serikali
2.Kinga kwa Raisi
3.Madeni na Mikataba
4.Kutengeneza mabazara ya wana CCM tu kupitisha mambo yenu.
4...........wengine wataongezea.


 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!

Kwa akili za Div IV unaweza ukadhani kuna mambo ya kushangilia kwenye hiyo tume iliyokuja na draft ya JIMBO MOJA WABUNGE WAWILI: MMOJA MWANAUME, MWINGINE MWANAMKE
 
Nape una miaka mingapi? Umri wako halisi nahis akili bado haijapea vizuri
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!

Na wewe tunasubiri kwa hamu kubwa siku tisini ulizotoa kuwashughulikia mafisadi,hazijafika bado?
 
We jamaa mweupe kweli sasa unashangilia Madaraka ya raisi kuto punguzwa au kutoshitakiwa?
Unashangilia kipindi cha uraisi kuongezwa kutoka 2 kuwa 3 ? sasa hii si hatari maana tukipata Raisi kama huyu wa sasa alafu uwaambie watu atakaa madarakani kwa miaka 15, watu wanaweza kuingia msituni.
Ina maana hakutakuwa na uchaguzi? Kibanga ampiga mkoloni uchaguzi kila baada ya miaka 5 na matokeo ya urais yatahojiwa kama mgombea au wagombea hawataridhika.
 
hioongera nape... ni hawa hawa walikuwa wanapayukapayuka kila kukicha kuwa tume ina wajinga watupu hadi wakataka kujitoa kilichosaidia pro.baregu kuwa na msimamo na kuwaambia kuwa yeye hayupo kwa ajili ya chama yupo kwa ajili ya wananchi wa tanzania..wakikombakomba baada wakasema bado tunatafakari kama tujitoe au la... yani NAPE leo umewagusa panapowasha yani wanarukaruka kinyesi chao wenyewe....... yani wafuasi na viongozi wa chadema wote ni jambo ndogo hawajuei waendako wala watokako..sasa mnatoa povu la nini kwani anachoongea NAPE ni uongo au si ndo nyie mwanzo hadi mwisho tume hovyo leo imetoa rasimu safi menooo kelllelee safiiiiiiiiiiiiiiiii ...hovyo kabisa chadema
Soma michango na mitizamo tofauti na utaona kuwa vyama vya upinzani na wanaharakati wanaitakia mema nchi kuliko Nape na kundi lake.
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!

Daa, wonders shall never end in this Country, hata wewe wa kuuliza swali hilo? Anyway, na mimi nasubiri kwa hamu kubwa kweli kusikia zile siku za kuvuana magamba? lini utatoa remix nape? cause ile ya kwanza ilichuja though hukutwambia.
 
Hakuna hata mtu mmoja aliyesema tume ya katiba si huru. Ila walisema mabaraza ya katiba siyo huru. Kwa kuwa CCM ilipenyeza mamluki humo.
 
Duh, Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Kweli kuwa na akili za kibavicha ni hasara kwa taifa

Kwa mawazo yako, watu wanaotakiwa kuijadili rasimu kwa akili yako, unataka rasimu iwajadili wao.

Bila aibu uko mbele kutoa ushauri kwa Nape Nnauye.

Kichaa yuko kazini............................!!!!
 
Kichaa yuko kazini............................!!!!
Watu kama wewe ni wa kuhurumiwa tu kwa sababu hamjui mlitendalo.

Who poisoned you guys with bavicha bavicha mentality?. Huyu aliyefanya hivi ndiyo anatakiwa kuwa accountable kwa alifahamu kile alichokuwa anakifanya.

You are just a waste of space in JF political arena.
 
CHADEMA now wanasema wanaunga mkono rasimu
wamesahau walimwambia Baregu ajitoe...
 
Watu kama wewe ni wa kuhurumiwa tu kwa sababu hamjui mlitendalo.

Who poisoned you guys with bavicha bavicha mentality?. Huyu aliyefanya hivi ndiyo anatakiwa kuwa accountable kwa alifahamu kile alichokuwa anakifanya.

You are just a waste of space in JF political arena.


Kachukue buku zako 7 kutoka kwa Nape, Lumumba. kazi ya leo umeifanya vizuri vizuri THINK TANK WA CCM..................!!!
 
Ninasubiri kwa hamu kubwa kuwasikia waliosema kwa sauti kubwa nahadharani kabisa kuwa Tume ya Mabadiliko ya katiba nchini haina watu wenye weledi kwa kazi hiyo tena wakaenda mbali kuwa haiko huru tume hiyo kufanya kazi wanayotakiwa kufanya. Sasa baada ya rasimu hii natamani kuwasikia tena wakisema nakurudia maneno yale na pengine kwa kuyapigia mstari mkubwa!!

Nape Nnauye ukitumia akili utajitendea haki, uhuru wa kuiandika hii katiba tumenyimwa,

1) sheria iko wazi inatutishia kupinga muundo wa mchakato wa kuiandika katiba hata kama umekosewa, (hapo uhuru unatoka wapi)

2) vyama vya siasa vinasikilizwa kanakwamba navyo ni wananchi (hiki ni kioja)

3) viongozi wanasikilizwa na tume si kwa utanzania wao, bali kwa nyadhifa zao (hii ni balaa)

Nape kumbuka kuwa vimabadiliko vichache vinavyojitokeza kwenye hii rasimu ya katiba vingeweza kufanywa kwa kupeleka miswada bungeni na kurekebisha katiba hii hii tuliyonayo, kama unaweza kusoma katikati ya mistari utagundua kuwa rasimu ya katiba ya sasa "INAPENDEKEZA MAMLAKA NYINGINE KUFANYA MAAMUZI KWA KADRI ZITAONA INAFAA"

rasimu haielekezi, nieleweke vizuri.
katiba gani inaacha mianya ya rasilimali kuporwa kwa maamuzi ya watu wachache?

katiba gani isiyotambua kuwa maliasili zilizopo nchini kwetu ni zetu 100% na ikiwa hatuna taaluma ya kuzichakata tuweze kumuajiri awezaye kwa percent elekezi i.e up to 30% muximum?

hii katiba ilipaswa kuvielekeza vyama majukumu yao, lakini ajabu vyama vinajipangia vitaendeshaje shughuli zake kiulainiiii hata kama ni kwa hasara ya nchi.

IKIPITISHWA HII KATIBA KWA KWELI HII SI YA WANANCHI WA TANZANIA.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom