Wako wapi wasanii wa enzi hizo? Nasikitika kuona kizazi hiki cha 2000 hakina nyimbo zenye ujumbe/maonyo

Wako wapi wasanii wa enzi hizo? Nasikitika kuona kizazi hiki cha 2000 hakina nyimbo zenye ujumbe/maonyo

Wana nyimbo yao

Chomeka waah, chomoa waah.!!
Woza kala waah, shwaa shwaaah
Hapo mpk uwe na D mbili ndo utaelewa 😹😹
🤣🤣🤣🤣Nkamu🙌 haya Mambo magumu sana aisee
 
Waungwana heri ya uzima na afya kwenu nyote.

Hapa kila mtu atakuwa shahidi kuwa mwishoni wa mwaka 1999 kurudi nyuma kulikuwa na nyimbo zenye maadiri.

Kwanza unaburudika huku ukipata ujumbe wa kukujenga na maonyo pia kwenye nyimbo hizo hutasikia matusi wala mambo ya ovyo. mashairi yamepangika vizuri sana.

Hizo nyimbo ilikuwa kama kwaya yaani akija mgeni lazima mtaenda azima kaseti kwa jirani kama hamna ili tu mgeni apate burudani maridhawa. Mtasikiliza ninyi nyote pamoja na watoto pia.

Leo hii wasanii wetu ndo kama hivyo nyimbo za matusi ya wazi wazi hata mtoto hayo yanayoitwa mafumbo
lazima atayafumbua na kujua kinacho manishwa ni hki.{mfano ,toto kautaka,weka mate iteleze, mwagia ndani nk}

Kwakweli kizazi hiki kimekoswa vitu vingi sana vya kujenga ubongo wao! Na ndio maana hawa wadogo/watoto zetu hawaja starabika hawana nidhamu.

Wasanii hawa hata lugha yetu adhimu wametuharibia msaani anaimba "hakunaga'" Leo salaam pia inaenda kupokea ni nadra sana kusikia watu wa lika moja wanasalimiana "Habari bwn j" matokeo yake leo hii utasikia

Msalimiaji=>Wozaaa
Anaye salimiwa => Wozaa wozaaaa
au
niaje?= poa
kama kawa?=Kawaida. nk

Nimefanya utafiti wangu nimegundua hizi nyimbo zinazo itwa za kizazi kipya hata hazidumu. Chukua simu za watu 10 wenye nyimbo kwenye simu kisha waambie nipigie nyimbo za diomond za kuanzia mwaka 2017 kurudi nyuma. hakika hutapata mwenye nyimbo hizo hata ukiweka dau la 100k hela yako utabaki nayo.

Lakini kati yao hao waambie wakupigie nyimbo za miaka ya 90 kurudi nyuma nakuapia hutakoswa mtu
asiyekuwa na nyimbo hizo. labda kama uwe na watoto wa mwaka 2002-2006 ndo utakoswa.

Nyimbo za zamani hata leo hii zinapigwa kila sehemu yamikini hata kwenye hafla kubwa za kiserkali nk
nyimbo kama "Rangi ya chungwa" popote utaisikia iwe mjini ama vijijini.

Hata wenye magari binafisi 80% wananyimbo za zamani ama kwaya pia huwezi koswa nyimbo za kongo nk
ni mara chache sana ukasikia nyimbo ya wozu ama mbosso ikipigwa kwenye gari la mtu binafisi.

Wasanii kama akina mbaraka msheeh wameacha alama kubwa sana ya mziki wa kiafrica nje ya nchi kama ujerumani jamaa mmoja aliniambia kuna mitaa huko nyimbo hizi wanazipenda sana.

Ukija kwenye taarbu ndo kabisa imebaki mipashoo tu hakuna la maana.

View attachment 3128585
View attachment 3128586
View attachment 3128587
View attachment 3128585
View attachment 3128585
View attachment 3128585
View attachment 3128586
View attachment 3128586
View attachment 3128587


Nabaki na mswali wako wapi wasanii kama hawa?
View attachment 3128588
Mkuu mziki ume haribika Kuna kajamaa wanakaita mbuzi sjui aiseeh kanacho imba Mimi huwa naona kelele tu
 
Waungwana heri ya uzima na afya kwenu nyote.

Hapa kila mtu atakuwa shahidi kuwa mwishoni wa mwaka 1999 kurudi nyuma kulikuwa na nyimbo zenye maadiri.

Kwanza unaburudika huku ukipata ujumbe wa kukujenga na maonyo pia kwenye nyimbo hizo hutasikia matusi wala mambo ya ovyo. mashairi yamepangika vizuri sana.

Hizo nyimbo ilikuwa kama kwaya yaani akija mgeni lazima mtaenda azima kaseti kwa jirani kama hamna ili tu mgeni apate burudani maridhawa. Mtasikiliza ninyi nyote pamoja na watoto pia.

Leo hii wasanii wetu ndo kama hivyo nyimbo za matusi ya wazi wazi hata mtoto hayo yanayoitwa mafumbo
lazima atayafumbua na kujua kinacho manishwa ni hki.{mfano ,toto kautaka,weka mate iteleze, mwagia ndani nk}

Kwakweli kizazi hiki kimekoswa vitu vingi sana vya kujenga ubongo wao! Na ndio maana hawa wadogo/watoto zetu hawaja starabika hawana nidhamu.

Wasanii hawa hata lugha yetu adhimu wametuharibia msaani anaimba "hakunaga'" Leo salaam pia inaenda kupokea ni nadra sana kusikia watu wa lika moja wanasalimiana "Habari bwn j" matokeo yake leo hii utasikia

Msalimiaji=>Wozaaa
Anaye salimiwa => Wozaa wozaaaa
au
niaje?= poa
kama kawa?=Kawaida. nk

Nimefanya utafiti wangu nimegundua hizi nyimbo zinazo itwa za kizazi kipya hata hazidumu. Chukua simu za watu 10 wenye nyimbo kwenye simu kisha waambie nipigie nyimbo za diomond za kuanzia mwaka 2017 kurudi nyuma. hakika hutapata mwenye nyimbo hizo hata ukiweka dau la 100k hela yako utabaki nayo.

Lakini kati yao hao waambie wakupigie nyimbo za miaka ya 90 kurudi nyuma nakuapia hutakoswa mtu
asiyekuwa na nyimbo hizo. labda kama uwe na watoto wa mwaka 2002-2006 ndo utakoswa.

Nyimbo za zamani hata leo hii zinapigwa kila sehemu yamikini hata kwenye hafla kubwa za kiserkali nk
nyimbo kama "Rangi ya chungwa" popote utaisikia iwe mjini ama vijijini.

Hata wenye magari binafisi 80% wananyimbo za zamani ama kwaya pia huwezi koswa nyimbo za kongo nk
ni mara chache sana ukasikia nyimbo ya wozu ama mbosso ikipigwa kwenye gari la mtu binafisi.

Wasanii kama akina mbaraka msheeh wameacha alama kubwa sana ya mziki wa kiafrica nje ya nchi kama ujerumani jamaa mmoja aliniambia kuna mitaa huko nyimbo hizi wanazipenda sana.

Ukija kwenye taarbu ndo kabisa imebaki mipashoo tu hakuna la maana.

View attachment 3128585
View attachment 3128586
View attachment 3128587
View attachment 3128585
View attachment 3128585
View attachment 3128585
View attachment 3128586
View attachment 3128586
View attachment 3128587


Nabaki na mswali wako wapi wasanii kama hawa?
View attachment 3128588
Muziki wa Tanzania umeuliwa na kina Ruge, Master J na Mzee wa kuvuta bangi (Saidi Comorien).
 
Suala la muziki ni la hovyo dunia nzima. Sisi watu wa Hiphop tuna masikitiko makubwa mno. Kina 2pac waliimba vitu vyenye maana ila kwa sasa nyimbo zote ni upuuzi mtupu. Hata ladha ya hiphop halisi hakuna kabisa. Leo hii Drake na Wakazi wanatajwa kuwa rappers wakali...!! Inasikitisha
Hiphop tumepigwa na kitu kizito sana

Ova
 
Itoshe
Waungwana heri ya uzima na afya kwenu nyote.

Hapa kila mtu atakuwa shahidi kuwa mwishoni wa mwaka 1999 kurudi nyuma kulikuwa na nyimbo zenye maadiri.

Kwanza unaburudika huku ukipata ujumbe wa kukujenga na maonyo pia kwenye nyimbo hizo hutasikia matusi wala mambo ya ovyo. mashairi yamepangika vizuri sana.

Hizo nyimbo ilikuwa kama kwaya yaani akija mgeni lazima mtaenda azima kaseti kwa jirani kama hamna ili tu mgeni apate burudani maridhawa. Mtasikiliza ninyi nyote pamoja na watoto pia.

Leo hii wasanii wetu ndo kama hivyo nyimbo za matusi ya wazi wazi hata mtoto hayo yanayoitwa mafumbo
lazima atayafumbua na kujua kinacho manishwa ni hki.{mfano ,toto kautaka,weka mate iteleze, mwagia ndani nk}

Kwakweli kizazi hiki kimekoswa vitu vingi sana vya kujenga ubongo wao! Na ndio maana hawa wadogo/watoto zetu hawaja starabika hawana nidhamu.

Wasanii hawa hata lugha yetu adhimu wametuharibia msaani anaimba "hakunaga'" Leo salaam pia inaenda kupokea ni nadra sana kusikia watu wa lika moja wanasalimiana "Habari bwn j" matokeo yake leo hii utasikia

Msalimiaji=>Wozaaa
Anaye salimiwa => Wozaa wozaaaa
au
niaje?= poa
kama kawa?=Kawaida. nk

Nimefanya utafiti wangu nimegundua hizi nyimbo zinazo itwa za kizazi kipya hata hazidumu. Chukua simu za watu 10 wenye nyimbo kwenye simu kisha waambie nipigie nyimbo za diomond za kuanzia mwaka 2017 kurudi nyuma. hakika hutapata mwenye nyimbo hizo hata ukiweka dau la 100k hela yako utabaki nayo.

Lakini kati yao hao waambie wakupigie nyimbo za miaka ya 90 kurudi nyuma nakuapia hutakoswa mtu
asiyekuwa na nyimbo hizo. labda kama uwe na watoto wa mwaka 2002-2006 ndo utakoswa.

Nyimbo za zamani hata leo hii zinapigwa kila sehemu yamikini hata kwenye hafla kubwa za kiserkali nk
nyimbo kama "Rangi ya chungwa" popote utaisikia iwe mjini ama vijijini.

Hata wenye magari binafisi 80% wananyimbo za zamani ama kwaya pia huwezi koswa nyimbo za kongo nk
ni mara chache sana ukasikia nyimbo ya wozu ama mbosso ikipigwa kwenye gari la mtu binafisi.

Wasanii kama akina mbaraka msheeh wameacha alama kubwa sana ya mziki wa kiafrica nje ya nchi kama ujerumani jamaa mmoja aliniambia kuna mitaa huko nyimbo hizi wanazipenda sana.

Ukija kwenye taarbu ndo kabisa imebaki mipashoo tu hakuna la maana.

View attachment 3128585
View attachment 3128586
View attachment 3128587
View attachment 3128585
View attachment 3128585
View attachment 3128585
View attachment 3128586
View attachment 3128586
View attachment 3128587


Nabaki na mswali wako wapi wasanii kama hawa?
View attachment 3128588
"Hakuna mapya chini ya jua mkuu"
 
Muziki wa Tanzania umeuliwa na kina Ruge, Master J na Mzee wa kuvuta bangi (Saidi Comorien).
Usikariri basi Ata washing machine rice cooker zipigwe marafiki tu Aki kwenye asili ya kufua kwa mikono kupika kwa mikono
 
madogo wanasema ipachike

iteleze kama joka pangoni

mziki wa kizazi hiki very rubbish

atleast nimezaliwa kwenye 90s

nimeienjoy kidogo mziki mzuri
 
Kuna namna Africa yetu kwa sasa inahitaji pesa zaidi kuliko maadili , kuna kipindi kikifika maadili yatahitajika tena kwa kasi kubwa .

Tembelea nchi za wenzetu kutana na watu waulize kati ya upendo na pesa wanachagua nini ,wengi watachagua upendo kuliko pesa ,ambacho kwa Africa ni kinyume chake tena unaweza ambiwa acha kufaninisha pesa na vitu vya kijinga😅😅😅.

Maisha huwa yapo kwenye mzunguko ,yanaenda mbele na kurudi nyuma ili kuleta uwiano mzuri na maana ya maish

Kuna namna Africa yetu kwa sasa inahitaji pesa zaidi kuliko maadili , kuna kipindi kikifika maadili yatahitajika tena kwa kasi kubwa .

Tembelea nchi za wenzetu kutana na watu waulize kati ya upendo na pesa wanachagua nini ,wengi watachagua upendo kuliko pesa ,ambacho kwa Africa ni kinyume chake tena unaweza ambiwa acha kufaninisha pesa na vitu vya kijinga😅😅😅.

Maisha huwa yapo kwenye mzunguko ,yanaenda mbele na kurudi nyuma ili kuleta uwiano mzuri na maana ya maisha.
Asante sana mkuu,.Huo ndio ukweli usiopingika siku si nyingi hizi nyimbo zao za eti kizazi kipya hata wao GenZ watakuwa hawataki hata kuzisikia.
 
Ona mwanamme wa Dar huyu, tunaongelea facts wewe unakuja na fantasisies.
Mkuu🤣siyapend hayo. Manyimbo ya zamani Ila naskiliza blues za mambele za zamani labda mara moja moja maisha yakinipiga nitaskliza ngoma ya msondo ngoma_wanaume tumeumbwa mateso🤣

Naskiliza ngoma ya Dunia tunapita basi
 
Back
Top Bottom