Mzee wa fund
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 514
- 89
Salamu wana JF. mimi nauliza hivi wale waliosoma zile shule za vipaji maalumu. wamelitendea nini taifa la Tanzania? maana walifundiswa na walimu wazuri, mazingira mazuri yaani maktaba, maabara, nk.
je baada ya muda wote huu kupita kama hawaja litendea chochote cha maana taifa letu, je kuna haja ya shule hizo kuitwa za vipaji maalumu.? nawasilisha.
je baada ya muda wote huu kupita kama hawaja litendea chochote cha maana taifa letu, je kuna haja ya shule hizo kuitwa za vipaji maalumu.? nawasilisha.