Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Fuatilia vizuri mkuu.Joachim Munga Luguru alikuwa anatokea Zambia so i am sure alirudi kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia vizuri mkuu.Joachim Munga Luguru alikuwa anatokea Zambia so i am sure alirudi kwao
Santa Clara County,California,United States,near San Jose.ndo Wap
Sebo yupo e.fm
Tayana aliacha utangaZaji baada ya ishu yke ya kubakwa (fiesta)
Kidbway namuonaga kwny blog yke kidbwaymnayama inaitwa
Dj mavufu amekuwa club dj ukimuhitaji unamuita
Kwa nini mkuu[emoji3]Hapo kwa JML '' Joachim Munga Luguru nina mashaka
Aliwahi kuwa radio moja Iringa. Sikumuona kwa muda. Nilipowauliza wadau walisema.. '' he's no more.... ''Kwa nini mkuu[emoji3]
Alifia Arusha.Aliwahi kuwa radio moja Iringa. Sikumuona kwa muda. Nilipowauliza wadau walisema.. '' he's no more.... ''
Sio geogle au ulimaanisha mtaan kwenu[emoji23] [emoji23]Nenda geogle
Umenikumbusha wimbo wa komandoo Hamza Kalala wa "nimekusamehe lakini sitokusahau..."wap? roy mlalik maganga
Hivi Mully B bado yupo mawingu? Huwa nahisi kuna vitu anavyo kwenye utangazaji ila hakuna binadamu amewahi kugundua....