Wako wapi Zay B na Sister P?

Wako wapi Zay B na Sister P?

baiser

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,480
Reaction score
2,239
Wako wap hawa wakali wa michano enz hizo ?Wako kimy sanaaa tumewamis san mashabik
 
Wapo kitaa wanachapika. Maisha yamewachapa na wamechoka kinyama.
Muziki kwao imekuwa ni hadithi fulani ya zilipendwa. Hawana dili tena.
 
LONG TIME WAMEPOTEA ASEEH

SISTER P

Anakuja anakuja, Sista Piii
Anakuja anakuja, Sista Piii kwenye fani ngangariii...

ZAY B
Yekechee mambo chee yebo, yebo
Acha kuchonga ngenga tuliza kipago
Zay B nipo Gado, nipo Gado
 
Sister p Bangi ndo ili mpoteza mwananyamala

Triple A
 
Ila hawa mademu walikimbiza gemu sana mpaka wakawa na bifu kati yao ikabidi paparazi wawakutanishe kuwasuluhisha wapatanae. Ilikuwa huyu akitoa wimbo kumdis mwenzake naye anajibiwa kwa wimbo. Ilikuwa ni burudani tosha kwa mashabiki zao
 
sista P.jpeg
 
Back
Top Bottom