Wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, tutaweza kuwazuia ?

Wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, tutaweza kuwazuia ?

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Je, leo hii wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, waafrika tutaweza kuwazuia kweli ?

Tanganyika itaweza kuwazuia wajerumani wakianzisha vita ya kurudi katika koloni lake ?

Kenya itaweza kuwazuia waingereza ?

Guinea itaweza kumzuia mfaransa ?

Ni nchi ngapi leo hii Afrika zinaubavu wa kupambana na wakoloni wake wakiamua kurudi kwa mara ya pili kwa njia ileile ?

Leo hii ukiwaambia waingereza warudi Hong-Kong,wareno warudi Macau,wajapan warudi mainland China kwa njia zile zile watakunasa vibao.

Tujitafakari
 
Kwa aina ya viongozi wetu hatutoboi
FB_IMG_17325533533994633.jpg
 
Je, leo hii wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, waafrika tutaweza kuwazuia kweli ?

Tanganyika itaweza kuwazuia wajerumani wakianzisha vita ya kurudi katika koloni lake ?

Kenya itaweza kuwazuia waingereza ?

Guinea itaweza kumzuia mfaransa ?

Ni nchi ngapi leo hii Afrika zinaubavu wa kupambana na wakoloni wake wakiamua kurudi kwa mara ya pili kwa njia ileile ?

Leo hii ukiwaambia waingereza warudi Hong-Kong,wareno warudi Macau,wajapan warudi mainland China kwa njia zile zile watakunasa vibao.

Tujitafakari
kuna Kibaraka wao moja yupo chadema,eti anagombea uenyekiti wa chadema Taifa kwa niaba ya wakolni,

haijulikani wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa watakubali au watamkataa kibaraka huyo 🐒
 
Je, leo hii wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, waafrika tutaweza kuwazuia kweli ?

Tanganyika itaweza kuwazuia wajerumani wakianzisha vita ya kurudi katika koloni lake ?

Kenya itaweza kuwazuia waingereza ?

Guinea itaweza kumzuia mfaransa ?

Ni nchi ngapi leo hii Afrika zinaubavu wa kupambana na wakoloni wake wakiamua kurudi kwa mara ya pili kwa njia ileile ?

Leo hii ukiwaambia waingereza warudi Hong-Kong,wareno warudi Macau,wajapan warudi mainland China kwa njia zile zile watakunasa vibao.

Tujitafakari
Africa hatujawahi pata uhuru kamili, tulipewa uhuru wa bendera bt behind the scene bado tupo colonized.
 
kuna Kibaraka wao moja yupo chadema,eti anagombea uenyekiti wa chadema Taifa kwa niaba ya wakolni,

haijulikani wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa watakubali au watamkataa kibaraka huyo 🐒
Achana na hayo jadili kilichopo mezani
 
Waje mara ngapi na utawazuia vipi hali ya kuwa wamesharudi katika namna nyingine ya ukoloni...

Wanatutawala kisiasa na kiutamaduni...

Wao si wajinga...
 
Waje mara ngapi na utawazuia vipi hali ya kuwa wamesharudi katika namna nyingine ya ukoloni...

Wanatutawala kisiasa na kiutamaduni...

Wao si wajinga...
Wanakutawala ki vipi ?

Hebu tujaribu kujadili jinsi maswali yanavyouliza
 
Je, leo hii wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, waafrika tutaweza kuwazuia kweli ?

Tanganyika itaweza kuwazuia wajerumani wakianzisha vita ya kurudi katika koloni lake ?

Kenya itaweza kuwazuia waingereza ?

Guinea itaweza kumzuia mfaransa ?

Ni nchi ngapi leo hii Afrika zinaubavu wa kupambana na wakoloni wake wakiamua kurudi kwa mara ya pili kwa njia ileile ?

Leo hii ukiwaambia waingereza warudi Hong-Kong,wareno warudi Macau,wajapan warudi mainland China kwa njia zile zile watakunasa vibao.

Tujitafakari
Warudi mara ya ngapi?
 
kuna Kibaraka wao moja yupo chadema,eti anagombea uenyekiti wa chadema Taifa kwa niaba ya wakolni,

haijulikani wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa watakubali au watamkataa kibaraka huyo 🐒
Na huyo kibaraka ni wewe na genge lako ĺa wakoloni weusi
 
Back
Top Bottom