Wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, tutaweza kuwazuia ?

Wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, tutaweza kuwazuia ?

Achana na hayo jadili kilichopo mezani
Gentleman,
naacha vipi kujadili hoja hii muhimu wakati ni wazi wakolni wanarudi kwa kuwapenyeza vibaraka wao kupitia vyama vya siasa nchini 🐒
 
Chukua homework hiyo kasome Ndo uje tujadili
Hiyo sio kazi yangu ni yako wewe kuzungumza ulicholeta.

Mimi nimeuliza maswali yanayopaswa kujibiwa ila sielewi kinacho endelea humu
 
Kama unafuatilia kinachoendelea africa ya magharibi, kati ya ufaransa na makoloni yake nadhani utakua umepata picha kamili.
Elezea upo colonised ki vipi ?
 
Na huyo kibaraka ni wewe na genge lako ĺa wakoloni weusi
kibaraka si yule ambae,
hata juzi kwa kuwafurahisha mabwenyenye yanayomfadhili eti akatoa hotuba akiwa huko huko kwao magharibi dah 🐒
 
Je, leo hii wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, waafrika tutaweza kuwazuia kweli ?

Tanganyika itaweza kuwazuia wajerumani wakianzisha vita ya kurudi katika koloni lake ?

Kenya itaweza kuwazuia waingereza ?

Guinea itaweza kumzuia mfaransa ?

Ni nchi ngapi leo hii Afrika zinaubavu wa kupambana na wakoloni wake wakiamua kurudi kwa mara ya pili kwa njia ileile ?

Leo hii ukiwaambia waingereza warudi Hong-Kong,wareno warudi Macau,wajapan warudi mainland China kwa njia zile zile watakunasa vibao.

Tujitafakari
Siku hizi mnatawaliwa kwa kutumia saikolojia na akili tu! Na siyo nguvu kama zamani. Labda itokee kama mtawala anataka kuwatunishia msuli hao Wakoloni kama ilivyokuwa kwa Gaddaf, ndiyo nguvu inatumika.
 
Hawajawahi kuondoka. Na kwa mikataba hii, najua vizazi vijavyo vitatudharau kama tunavyowadharau kina mangungo wa msovero waliotia sahihi kwenye mikataba ya kipuuzi bila kujua
 
Siku hizi mnatawaliwa kwa kutumia saikolojia na akili tu! Na siyo nguvu kama zamani. Labda itokee kama mtawala anataka kuwatunishia msuli hao Wakoloni kama ilivyokuwa kwa Gaddaf, ndiyo nguvu inatumika.
Swali bado lipo pale pale sielewi ni watu wengi wa humu sio waelewa ama nini ?

Swali ni je wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kwa njia ileile waliyotumia mwanzo ni njia ngapi zenye uwezo wa kuwazuia hapa Afrika ?

Leo hii wajerumani waje waivamie Tanganyika je tuna huo uwezo wa kuwazuia kutimiza adhma yao ?
 
Hawajawahi kuondoka. Na kwa mikataba hii, najua vizazi vijavyo vitatudharau kama tunavyowadharau kina mangungo wa msovero waliotia sahihi kwenye mikataba ya kipuuzi bila kujua
Umesoma nilichouliza ?
 
Tuachane na hayo.

Je, ni nchi ngapi leo Afrika zinauwezo wa kuzuia wakoloni wake wakirejea kwa njia zile zile ?
Kwa Afrika ya Mashariki labda Ethiopia na Wasomali kwa Afrika ya Magharibi sioni kwa Afrika ya Kaskazini Algeria na Misri kwa kusini mwa Afrika SA na Angola.
 
Je, leo hii wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kututawala je, waafrika tutaweza kuwazuia kweli ?

Tanganyika itaweza kuwazuia wajerumani wakianzisha vita ya kurudi katika koloni lake ?

Kenya itaweza kuwazuia waingereza ?

Guinea itaweza kumzuia mfaransa ?

Ni nchi ngapi leo hii Afrika zinaubavu wa kupambana na wakoloni wake wakiamua kurudi kwa mara ya pili kwa njia ileile ?

Leo hii ukiwaambia waingereza warudi Hong-Kong,wareno warudi Macau,wajapan warudi mainland China kwa njia zile zile watakunasa vibao.

Tujitafakari
Kama unapenda kuwa uchochoro waalike wazazi wako, wadogo zako na nduguzo mkatawaliwe hukohuko waliko.
Wanawake wenu wabakwe nawe uhasiwe, uamuzi ni wako.
 
Umesoma nilichouliza ?
Ulichomaanisha ni kutuvamia na kututawala kinguvu kitu ambacho ni ngumu kwa sasa japo inawezekana lakini uhai wa ukoloni ni unyonyaji. Kama waweza kula kwa jitihada kidogo kwa nini ujihangaishe

Nadhani wengi wanakujibu kwa angle ya "utawala", wewe umeegemea kwenye utumiaji wa mabavu kutawala. Watu wote wapo sawa
 
Swali bado lipo pale pale sielewi ni watu wengi wa humu sio waelewa ama nini ?

Swali ni je wakoloni wakiamua kurudi tena mara ya pili kwa njia ileile waliyotumia mwanzo ni njia ngapi zenye uwezo wa kuwazuia hapa Afrika ?

Leo hii wajerumani waje waivamie Tanganyika je tuna huo uwezo wa kuwazuia kutimiza adhma yao ?
Haya jibu jepesi ni hili hapa! Hilo jambo unaloliwazia, haliwezekani. Maana hawana sababu ya kufanya hivyo. Na isitoshe mfumo wa ukoloni (kutawala watu kwa nguvu) ulishapitwa na wakati.

Siku hizi Mataifa yenye nguvu yapo kwenye mfumo mpya wa Ukoloni mamboleo (kutawaliwa indirectly)! Hivyo kwa upande wa hayo Mataifa yenye nguvu duniani, huu ni mfumo bora zaidi kwao kuliko mfumo uliopita wa ukoloni.
 
Kwanini tuwazuie wakoloni?
Waje tu kututawala upya kuliko kuendelea kutawaliwa na huyu muafrika mjinga, mpumbavu, muuaji, mwizi na fedhuli.

Bora mkoloni kuliko CCM.
 
Back
Top Bottom