Wakoloni walibeba magogo na mbao zetu

Wakoloni walibeba magogo na mbao zetu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1624213620775.png

1624215632216.png
Mbao ngumu kutoka Afrika
 
Fikiria misitu waliyoikuta wakati wanawasainisha mababu zetu mikataba mibovu. Hatutakaa tujue idadi ya magogo yaliyoondoka Afrika bila visa.


Na nyie chukueni mikopo kutoka kwao na msilipe. Hiyo ndiyo dawa yao.

Kuna Rais mmoja wa awamu fulani alijifanya mlipaji mzuri wa madeni ya hao wazungu ili asifiwe🤣
 
Na nyie chukueni mikopo kutoka kwao na msilipe. Hiyo ndiyo dawa yao.

Kuna Rais mmoja wa awamu fulani alijifanya mlipaji mzuri wa madeni ya hao wazungu ili asifiwe🤣
Wakongo kule Brussels wameamua kuchukua bebefit eti wanafidia mali aliyochukua King Leopard. Wqsichokijua ni kuwa kuishi kwa bebefit ni kufa masikini.
 
Back
Top Bottom