Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Wajerumani walianzisha miradi mikubwa mfano mashamba ya mkonge na viwanda vya katani pia ukuleles bandarini kwa kutumia pesa ya serikali.
Walianzisha kodi ya kichwa, hivyo kila raia mwenye umri wa miaka 18 -50 ilimpasa kufanya kazi ili alipe kodi.
Waliweka bidhaa madukani wakiwa na uhakika wa wateja kwani walijua wanalipa mishahara.
Kwa mipango endelevu wangeweza kusomesha nyumba za udongo na nyasi kwa kumkopesha kila mfanyakazi vidaka vya ujenzi na kumkata kwenye malipo yake.
Kikubwa na mzunguko wa pesa na mipango madhubuti maendeleo ya watu yanakuja bila kupenda.
Mkandarasi atatengeneza barabara, atajenga shule, atajenga soko. Kukiwa na barabara nzuri kuna watakaowekeza kwenye mabasi na watu watawahi makazini na mashuleni.
Raia wengi wakikosa ajira ni mzunguko wa umasikini.
Walianzisha kodi ya kichwa, hivyo kila raia mwenye umri wa miaka 18 -50 ilimpasa kufanya kazi ili alipe kodi.
Waliweka bidhaa madukani wakiwa na uhakika wa wateja kwani walijua wanalipa mishahara.
Kwa mipango endelevu wangeweza kusomesha nyumba za udongo na nyasi kwa kumkopesha kila mfanyakazi vidaka vya ujenzi na kumkata kwenye malipo yake.
Kikubwa na mzunguko wa pesa na mipango madhubuti maendeleo ya watu yanakuja bila kupenda.
Mkandarasi atatengeneza barabara, atajenga shule, atajenga soko. Kukiwa na barabara nzuri kuna watakaowekeza kwenye mabasi na watu watawahi makazini na mashuleni.
Raia wengi wakikosa ajira ni mzunguko wa umasikini.