Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Wa hapa wanasaidiwa kupitia GSM FoundationWatanzania kwa unafiki na kupenda sifa hata hapa Tanzania kuna watu wanaishi maisha magumu kushinda hao tena magumu kweli labda kama wachezaji wao wanataka kuwachangia.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Ni kweli hata hapa Tanzania kuna watu wana shida. Ndio maana Yanga ikiongozwa na Eng Hersi wamekuwa wanatoa misaada kwa hao wenye shida. Pengine ndio sababu ya hawa kumuombaWatanzania kwa unafiki na kupenda sifa hata hapa Tanzania kuna watu wanaishi maisha magumu kushinda hao tena magumu kweli labda kama wachezaji wao wanataka kuwachangia.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kwani watanzania hawasaidiwi na watu wa nchi nyingine? Hizo nchi unadhani hazina watu wenye matatizo?Watanzania kwa unafiki na kupenda sifa hata hapa Tanzania kuna watu wanaishi maisha magumu kushinda hao tena magumu kweli labda kama wachezaji wao wanataka kuwachangia.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Safi sanaKwani watanzania hawasaidiwi na watu wa nchi nyingine? Hizo nchi unadhani hazina watu wenye matatizo?
Nonsense.
Mwenye mawasiliano ya viongozi wa Yanga awafikishie hii video na kushauri waweke mkekaViongozi wangu wa yanga wekeni akaunti tuchangie
Roho mbaya hapo iko wapi?Umejawa na roho mbaya tu. Unaleta politics kwenye masuala nyeti
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
We unamuamini kingwangala?Kumbe makolo bado tu mnalia lia na suala feitoto mpaka leo yaan dau la fei linawauma kuliko bil 20 ambazo hazijulikani zilipo
Unataka kupima roho za wakongo wakati issue hapa ni kusaidia wenye shida. Huoni umuhimu wa kusaidia kutatua tatizo la mwenzako. Unachotaka ni cheap popularity tu. Roho mbayaWe unamuamini kingwangala?
Unajadili mambo tofauti na mada. MchawiWe unamuamini kingwangala?
Kigwangala ndo nani?We unamuamini kingwangala?
Lazima tumuamini kigwangalah kwa kuwa ni mumeoWe unamuamini kingwangala?
Kwani hao wachezaji wa kikongo hawapo kwenye nafasi ya kusaidiaUnataka kupima roho za wakongo wakati issue hapa ni kusaidia wenye shida. Huoni umuhimu wa kusaidia kutatua tatizo la mwenzako. Unachotaka ni cheap popularity tu. Roho mbaya
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
MmmmmhLazima tumuamini kigwangalah kwa kuwa ni mumeo
Yeyote mwenye kitu anaweza kusaidiaKwani hao wachezaji wa kikongo hawapo kwenye nafasi ya kusaidia
Tatizo unataka kujibu kila comment hata ambayo haikuhusu
Aliye waletea habari za 20BKigwangala ndo nani?
Akili yako ndogo sanaTatizo unataka kujibu kila comment hata ambayo haikuhusu
Sijui unafanya hivyo ili ku bust replies uonekane uzi una comments nyingi au namna gani
Nchi kama ipi Africa inaisidia Tanzania kama ni wazungu sasa unataka kufananisha masikini wa kizungu na wakibongo tatizo hili swala limekaa kishabiki sio kiuhalisia na wale jamaa wanavyopenda camera tayari wameshapata BOOSTER hapo kaa na ujinga wako mpaka hersi aje.Kwani watanzania hawasaidiwi na watu wa nchi nyingine? Hizo nchi unadhani hazina watu wenye matatizo?
Nonsense.
Habari za bil 20 zililetwa na Mo ila Kigwangala anahoji zilipoAliye waletea habari za 20B