Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Malaria SuguTumboo, bishanga, Baba V, mamndenyi, babu Aspirin, Mbu, Qloroquine, mentor
ZOMBIE
Rejao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malaria SuguTumboo, bishanga, Baba V, mamndenyi, babu Aspirin, Mbu, Qloroquine, mentor
@st paka mweusipaka jimmy
Ebanaa ee daah. Kweli nimekumbuka mbali ...
Hapanaaisee hivi Heaven on Earth ndiye Heaven Sent?
Mama wa michambo.....Daah...Walikuwa wakijikusanya kwenda kutoa msuto jukwaa lilikuwa linazizima. .Zinduna sijui kapotelea wapi. ..
Umeona eeeHa ha ha ha ha ha ha ha haaa, nimecheka sana asee..
Mama Ngina wa Arusha . Daaahwapi Mama Matesha? / nginaa
Pole sana ..Nilijiunga Jf mwaka 2008 nilipigwa ban.
Nikijaribu najibiwa Date will be lifted:Never
KwukwikwikwiMara ya mwisho alikuwa anaugua kaswende. Nadhani atakuwa anatumia kondom hivi sasa.
Hivi mwenyekiti wa chama Kaizer umepatamo kumwona?
Siku nyingine usiwe unahuliza, uwe unauliza ili ujibiweNaomba kuhuliza wakongwe wana vigezo gan?