Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha,dah kweli mkuuNa uzee mkuu.🤣🤣
Fikiria toka 2010 huko mnakiwasha tu humu.
Kumbe ndio maana basiYa balaa.
Ila kuna wakongwe wamerekebisha username
Hamjaona au?Hivi Wale mliosema hatufiki Dar!! Hapa ni Wapi?View attachment 2717906
Kwani huku kuna pisi?Yeah!! Now wanaogopa kugombea pisi za humu
Zimeenda wapi??Kwani huku kuna pisi?
UnawindaNahamu yakutapeliwa na pisi moja hapa Dar
Hizo pisi pia ,zimechange ID ,mnaeza jiona wapya kumbe...Yeah!! Now wanaogopa kugombea pisi za humu
Hahahaha,ndio maana akeWameji update??
Ngoja wanakujaAcha kabisa mawindo ya humu siku hizi yanachanganya sana.