Arabela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 3,127
- 2,227
Sio mguu ni mkonoKuna mtu alitenguka mguu...Ni wewe..??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mguu ni mkonoKuna mtu alitenguka mguu...Ni wewe..??
Nakusalimu Sana Mrembo.
eeeeeeeeeh,naona wakongwe mpepata pa kukutania sasa,daaaah ila zile hits za makapuku ni soo,sasa hv sijui wapo ukurasa wa ngapi,madogo wanapost kwa spidi ya hatari sana aisee
ooh nafika sasa hivi, si ipo hapo usalama?Leo ntakuwa Delington pale. Uje nikutambulishe
yeah hiyo ID naipataunamfahamu The secretary?
Yani wewe bhana.... unaniuzigi ni vile hujui tuooh nafika sasa hivi, si ipo hapo usalama?
Hahaha navuka barabara hapa,Yani wewe bhana.... unaniuzigi ni vile hujui tu
Sichezi tena na weweHahaha navuka barabara hapa,
Haha tucheze wote bana babuSichezi tena na wewe
Kibaba na mama ndo mchezo mzuri...... najaHaha tucheze wote bana babu
Hapa tuko Sudani ya Kusini kusimamia amani chini ya mwamvuli wa UN.....Mimi
Hapa Hommie, kwa kifupi sana hapa nipo wapi?
kuna huyu mrembo sana huyu anaitwa charminglady
Kibaba na mama ndo mchezo mzuri...... naja
Tiketi ntakuja nazo mwenyewe.....Babu ujue nasubiri ticket ya FJ, party hiyoooo inakaribia. Mwambie Nyani Ngabu nshaomba ruksa kwa mkoloni....
Babu ujue nasubiri ticket ya FJ, party hiyoooo inakaribia. Mwambie Nyani Ngabu nshaomba ruksa kwa mkoloni....
Sio mguu ni mkono