miss chagga hata ubinamu hautaki tena baada ya kufulia.
Huyu mwanamke kiboko.
Ahsante kwa kujaNami ni mkongwe au niende makapuku forum
My Eli79Wakongwe wengi wamebadili usernames. Tembosa uliopotelea wapi? Nilijitahidi umpate miss chagga ukashindwa[emoji12] [emoji12]
Yangu kabisa.Hiyo avata ni yako?
Miss you too.
Naomba nikusalimie Mkuu
[emoji12] [emoji12] Natafuta pa kutuliza mtima lakini sipaoni. Nani tena kafanya mambo akakuacha na kibebi?Single mother.
Mwenzangu umeoa?
[emoji85] [emoji85]
Naomba nikusalimie Mkuu