Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KOKUTONA alinifanya niijue NMB ya Korogwe.Usimsahau kabisa Little Angel kyanaKyoMuhaya hahhahaaaaa na Asnam
ilikua hatari sana mwenyekiti alikua Baba V
Chaaaaaa!!!!!hivi huyu jamqq hajawahi kukutokea kweli?
Tuombe uzima tu kaka!!PAmoja sana mkuu. Ila salamu kwa ndugu huwa haigombi. Japo amara moja kwa wiiki.
Yule aliyekuleta na Vitz siku ile, dah halafu alikua Serengeti boy yule hahahahhahaEnzi za ujana wangu Elli nilikuwa nina list ya 100.
Taja spelling ya awali na moyo wangu utamjua tu....
Wakati huo nilikuwa bado mgeni jukwaani, nilipenda tu kufatilia matani yao chitchat. I enjoyed their jokes kwa kweli. Mr Rocky na Mamndenyi ilikuwa coupleHahhahah nimekumbuka kitamboo saaana lol.....those good days
Nimsahau yeye halafu iweje?
Alinipa kumbatiao tamu pale Chumvini wakati twaelekea Pangani....mpaka leo ana leso yangu yenye machozi yangu
Wow! ulilizwa na nini sasa?Nimsahau yeye halafu iweje?
Alinipa kumbatiao tamu pale Chumvini wakati twaelekea Pangani....mpaka leo ana leso yangu yenye machozi yangu
Khaa!!!Yule aliyekuleta na Vitz siku ile, dah halafu alikua Serengeti boy yule hahahahhaha
hahahahah...EFD ipo, we tuma tu MPesa, rist ya EFD nakutumia vile vile kwa MpesaNikikupa dhawadi utanipa risiti ya mashine EFD?