KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,651
- 6,104
Sana tuuuuHivi kumbe niliacha alama za vidole[emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana tuuuuHivi kumbe niliacha alama za vidole[emoji12]
TukumbushieeKuna jamaa aliwapromot sana kwenye jukwaa
Hahahahaaaa.....kweli?Siku nikikuona ntaishia kushangaa huo mwanya.
Nipo TangaUlishawahi kuishi Tanga?
Nimerudi rasmi legendary.
Zitakuja na fast jet [emoji12]
Ahaaaaaa. Inawezekana mama.Wewe ndo umeficha sukari nini
Haswaaaa. Arushaone pia.I miss you to dear Karucee
Mndengereko sijui kapotelea wapi na mkuu wangu utafiti na @erick52 na kiwatengu na bazazi mkuu Nicas Mtei
Ulijuaje ni ww niliyekumiss?umepotea jamani?Umenimiss au bado ni ile ahadi ya kukupeleka Visiwa vya Saanane ndio inakusumbua!? usihofu dear. Ahadi zangu sio kama za chama! teh teh teh
watu tupo kitambo tangu 2009, na bado hatuna mbwembwe. Tulieni madogo, u-legendary hauji hivyo.Iwe hivi sasa...
Bila kujali muda na Umri wako Jf
Chit chat iamke!!
Wakongwe Hoyeee.
Nitakuja na list muda sio mrefu.
miss chagga upo?
Una kila sababu yakutunukiwa crown ya ukongwe! I miss those old time here,
Mr Rocky sitaki kuamini kuwa vidole vimezeeka and u can't write
To be continued...
Tanga sehemu gani. Nishawahi kuishi huko.Nipo Tanga
Na huo mwanya.Hahahahaaaa.....kweli?