Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Ha ha ha
long time sana MkuuI miss you to dear Karucee
Mndengereko sijui kapotelea wapi na mkuu wangu utafiti na @erick52 na kiwatengu na bazazi mkuu Nicas Mtei
Kiaje?Nicas alikuwa multipurpose!!
Nipo MkuuWapi Nicas Mtei na Team nzima ya vijana wa Arusha
Ulipotea kinyama...Nipo Mkuu
Mkunde original, lol. Umepotelea wapi na story zako? We ni mkongwe tena.....acha kabisa.Mie sijui ni mkongwe au niko kule kwa makapuku.........
Wakongwe ni kuanzia mwaka gani tujuze Mkuuyatafanyika hapa hapa, big up kwa aliyebuni hizi sub forum
Nipo sana aisee.Ulipotea kinyama...
Mkunde original, lol. Umepotelea wapi na story zako? We ni mkongwe tena.....acha kabisa.
Mkuu salamalong time sana Mkuu
Tena mkongwe haswaa
Nipo Mkuu. Mambo yamekuwa mengi.... Nlikuona kwenye tuko flani hivi amazing pale K.K.K.T Sekei.Mkuu salama
Uko mji huu kweli au ushahama aise