Mwamba kweli kweli Dan Martin Nataniel Dahlin huyu aliiwezesha Sweden kushika nafasi ya tatu kwenye World Cup ya 1994.Niliangalia kwenye Kibanda-Umiza kwa Binamu yangu Deo Matengelele Visiga Kibaha. Kulikuwa na Mzee anakuja na tv na antena yake na kuonyesha mpira pale kupitia ITV.
Mashindano yale kiujumla yalikuwa bora hata kwa Cameroon ya mkongwe wa miaka 42 Roger Milla. Kulikuwa na bingwa wa kufunga magoli ya kichwa...mtu mweusi mmoja wa Sweden akiitwa Darlin.
Vya kale ni dhahabu kwakweli...
Hata NBA piaUmenikumbusha. ITV zamani walikuwa wanaonyesha ligi ya Uingereza. Bure kabisa. Enzi Arsenal ikiwa na wachezaji kama kina Overmass, Tony Adams, etc...
Game za NBA zilikuwa zinaonyeshwa mchana, miaka ile Chicago Bulls na Milwaukee wapo moto sana na wale wengine Clippers.Hata NBA pia
Ukitaka kuona marudio ublnasubiri tamasha la michezo j2 mchana
Na bands la ujerumanYeah...Tmk, Tandika, Chang'ombe, Kurasini na Aziz yote mpk Uwanja wa Sifa wote 77 Rongai Bar na zingine. Kumbuka mwaka huo ITV ndo akianza na hiyo ilikuwa moja ya promo zake.
ukamshuhudia Zidane LIVE bila chenga. hapo mimi ndio kwanza hata Uso sijui kunawanilikuwa mpakani, tv inayo kamata ilikuwa tv rwanda na burundi hizi itv, channel 10 na nyingine za kibongo nimekuja zifahamu baada ya kuhama mpakani
Kombe LA KWANZA kabisa LA Dunia KUWAHI KURUSHWA na local TV channel ITV. KABLA ya HAPO ni WATU WA Masaki tu waliokuwa wnanagalia Kombe LA dunia KUPITIA Satellite dishesWakongwe habari!
Nimepata kumbukumbu za Fainali za Kombe la Dunia mwaka 1994, wakati huo nilikuwa nipo shule ya Msingi.
Mechi za mashindano haya nilizingalia Jet Club (ilikuwa ndani ya eneo la Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere International Airport wakati ule ulijulikana kama Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam - Dar es Salaam International Airport.
Watu wengi waliokuwa wakiishi Kipawa na Kiwalani hapa ndio eneo la kwenda kuangalia mpira hasa kwa wale ambao walikuwa na ndugu ama marafiki wanaofanya kazi uwanja wa ndege.
Miaka ile uwanja wa ndege haukuwa na uzio wa ukuta kama ilivyo sasa.
Fainali ilipigwa Rose Bowl, katika jiji la Pasadena, California
Mechi ilichezwa kwa dakika 120 mpaka kwenye mikwaju ya penati. Brazil ikishinda kwa 3 na Italia kupata penati 2
Uliangalia mechi ya fainali ukiwa wapi?
Mkuu, mwaka 1994 Zidane hakuwepo timu ya taifa Ufaransa kwenye mashindano yale. Walikuwepo akina Eric Cantona.ukamshuhudia Zidane LIVE bila chenga. hapo mimi ndio kwanza hata Uso sijui kunawa
zidane alikuwa wapi mkuu?Mkuu, mwaka 1994 Zidane hakuwepo timu ya taifa Ufaransa kwenye mashindano yale. Walikuwepo akina Eric Cantona.
Alikuwa U21..alianza kucheza ya wakubwa baada ya kuumia Eric Cantona mwaka 1995. Hivyobasi, kombe lake la kwanza la dunia ni la mwaka 1998.zidane alikuwa wapi mkuu?
Ufaransa haikuwepo kwenye World Cup ya 1994; kwenye mechi za kufuza kwa maajabu akachapwa na Bulgaria na Israel.ukamshuhudia Zidane LIVE bila chenga. hapo mimi ndio kwanza hata Uso sijui kunawa