Wakongwe wenzangu mnakumbuka wapi?

Tulia mdogo wangu alfu mbili... imenisaidia kuwakumbusha kwenye game tupo kitambo kipindi hiko mnajisaidia na kuchambwa sisi tupo online kwenye chatrooms tunatongoza watoto wazuri... hahahahh
Wewe ni mzee ila huna akili, ni vyema ukajikumbusha pasipo kukejeli watu. Kwa sababu watu waliokuzidi umri nao wakija stori itakuwa the same. Hata sisi tukiamua kufanya hivyo stori itakuwa the same. Wajinga wazee ni wengi sana....
 
Ni hivi utu uzima hauhusiana na kutopenda warembo,tatizo ni kuwapenda wanafunzi na wake za watu,hapo unakuwa mtu mzima hovyoo,kwasababu unajua mke wa mtu sio busara kutembea nae na unajua mwanafunzi unamuharibia ndoto zake


Nje ya hapo hakuna ubaya maisha ndio haya haya
 
Sijasema ni mbaya kupenda warembo lakini mm nikifikria ni kizazi chetu hiki kumbe braza kabisa πŸ˜‚...

Ila vunja mifupa kama bado meno iko.......

Kuna kipind utatamani ukae tuu usisumbuliwe
 
Nilipata mademu wengi kupitia marafiki.com, it was nice sijui ilishiaga wapi
 
cheupe dawa chudai ni porno za kihindi. kumbe unaangalia?

halafu wewe ulijiunga jf ukiwa na umri gani account ya 2015 sio mchezo
Naonaga X wanazisifia kwenye RT zangu basi naishiaga kucheka..!! 😹

Nilikuwa na kibuzi changu cha kishua kinasoma Feza boys kikanihonga HTC smart phone.!!

Sasa nikaanza kuitumia kuna kitu nilikuwa natafuta nikajikuta nimeingia JF,
Nikaipotezea nimekuja kuwa active 2023 basi ndo mpk leo nipo..!! Hapo niko under 18. 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…