Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Sasa tutoe hiyo fikra ya kuonekana wapambanaji mbele za watu na tuishi maisha yetu wenyeweKwa sisi weusi ili uonekane wewe ni mpambanaji lazima kwenye hadithi zako ziwemo zile sentences za maisha fulani magumu from scratch mtu mwenye aliyepewa mabilion na wazazi tz anadharaulika kuliko mtu aliyeanzia matopeni
Juzi mshikaji ananiambia babu hujanizidi shida wewe Namnukuu "juzi siku nzima nilishindia chapati moja😅"nikacheka kimoyo moyo kumbe africa maisha ya shida ni rahaSasa tutoe hiyo fikra ya kuonekana wapambanaji mbele za watu na tuishi maisha wenyewe
We mwenyewe kumbe dogo tu. Watu tuna hotmail 98. Umetumia windows at 95? Mac enzi hizo zinaandikwa macintosh. Ustishe watu dogo.View attachment 3204285
Msn Messenger 2007, kipindi hiko watoto wadogo mnafundishwa "that is an orange" sisi tulikuwa humu msn tukisoma habari za mambele na kufuatilia ulimwengu unaendaje..
View attachment 3204286
Hii marafiki, juu hapo kuna kitangazo cha Buzz, miaka ya 2005/2006 kama sijasahau... mwanzoni iliitwa darchat kama sijasahau... watoto wengi humu kipindi hiki mnajisaidia kwenye nguo... kwa kipindi hiko hii ndio ilikuwa kama tinder sasa, nilipata manzi anaitwa Mwaju miaka hio sintosahau..
View attachment 3204288
Bongo5 miaka ya 2007/2008..
View attachment 3204289
Darhotwire miaka ya 2007/8/9... hapa wakongwe wengi mnakumbuka vingi sana kabla ya jamiiforums...
View attachment 3204290
Tanzatl, hii nadhani ilikuwa miaka ya 2004 kama sijasahu niko primary school ,.. kipindi hiko unamaliza darasa la saba una ndevu ushanyoa hadi upele kwenye kidevu..
View attachment 3204291
Jamboforums kabla haijavamiwa na watoto wa 2000s, hapa ni 2006/2007 nadhani kabla haijawa jamiiforums...
View attachment 3204292
Jamboforums 2006.... now jamiiforums, kipindi hiko wanafanya na donation ku run site...
View attachment 3204293
Business times au bcstimes.com--- hapa miaka ya 2004/2005 hata jamiiforums haipo, humu ndipo tulikuwa tunaingia kusoma habari, udaku, magazeti n.k
View attachment 3204297
Hii ni hi5 miaka ya 2002 kama sijasahau au 2003...
View attachment 3204299
Hii ni jambonet miaka ya 2004 i think so... hapa ilikuwa page under maintenence... nakumbuka...
View attachment 3204302
Hii ilikuwa ni YoungAfricans, miaka ya early 2000s.. kipindi hicho wengine ndio mnazaliwa halafu leo mnatutukana humu jamiiforums...
Una matani ya ukweli wewe😹😹😹 mzabzab ukifa jeneza lako liwe na muundo wa mbususu
Oya braza kibamia habari za wakati tena? Mzima wewe braza angu wa ukweli😊Una matani ya ukweli wewe
Ndo hivooMweeee!
😹😹🤣 najaribu kufanya ufurahie huko uendakoUna matani ya ukweli wewe
Matunda cafe MorogoroView attachment 3204285
Msn Messenger 2007, kipindi hiko watoto wadogo mnafundishwa "that is an orange" sisi tulikuwa humu msn tukisoma habari za mambele na kufuatilia ulimwengu unaendaje..
View attachment 3204286
Hii marafiki, juu hapo kuna kitangazo cha Buzz, miaka ya 2005/2006 kama sijasahau... mwanzoni iliitwa darchat kama sijasahau... watoto wengi humu kipindi hiki mnajisaidia kwenye nguo... kwa kipindi hiko hii ndio ilikuwa kama tinder sasa, nilipata manzi anaitwa Mwaju miaka hio sintosahau..
View attachment 3204288
Bongo5 miaka ya 2007/2008..
View attachment 3204289
Darhotwire miaka ya 2007/8/9... hapa wakongwe wengi mnakumbuka vingi sana kabla ya jamiiforums...
View attachment 3204290
Tanzatl, hii nadhani ilikuwa miaka ya 2004 kama sijasahu niko primary school ,.. kipindi hiko unamaliza darasa la saba una ndevu ushanyoa hadi upele kwenye kidevu..
View attachment 3204291
Jamboforums kabla haijavamiwa na watoto wa 2000s, hapa ni 2006/2007 nadhani kabla haijawa jamiiforums...
View attachment 3204292
Jamboforums 2006.... now jamiiforums, kipindi hiko wanafanya na donation ku run site...
View attachment 3204293
Business times au bcstimes.com--- hapa miaka ya 2004/2005 hata jamiiforums haipo, humu ndipo tulikuwa tunaingia kusoma habari, udaku, magazeti n.k
View attachment 3204297
Hii ni hi5 miaka ya 2002 kama sijasahau au 2003...
View attachment 3204299
Hii ni jambonet miaka ya 2004 i think so... hapa ilikuwa page under maintenence... nakumbuka...
View attachment 3204302
Hii ilikuwa ni YoungAfricans, miaka ya early 2000s.. kipindi hicho wengine ndio mnazaliwa halafu leo mnatutukana humu jamiiforums...
Huko minmateso tuu....maana ni motoni pakuenjoy ni hapa duniani😹😹🤣 najaribu kufanya ufurahie huko uendako
Aah Mkuu! Mbona mimi nina 32 na kipindi hicho computer home ilikuwepo na nimeichezea sana?! 😃Kipindi hiko tuna access ya internet na computer zipo Ghetto , inabidi wawe na heshima aisee... miaka hio kumiliki computer au una ufahamu kuhusu TEHAMA unakwenda internet cafe inabidi tupewe heshima...
Duh! Bro waptrick?!Mtu anapambana kupata waptrick 😅😅😅
Hahahah!dully kumbuka kiumri bado upo chini" dully akamwambia "nyambizi nionee huruma nishachoka kupiga puchu"
Nilisahau verse ya katikati Asante kwa kunikumbusha mkuu🙏😅Hahahah!
Dully hapa alimwambia " Nyambizi nione huruma, nipe japo kiduchu, nishachoka kupiga puchu".
Pamoja Mkuu!Nilisahau verse ya katikati Asante kwa kunikumbusha mkuu🙏😅
Hii ngoma mzee nilikua nikisikia afu kuna Ile Hi ya duly sykes😅Pamoja Mkuu!
Hiyo ngoma kipindi hicho naisikiliza brother angu akaniambia hapana usisikilize!
Kuna ladies free, bush party, siamini, zeze, king crazy Gk, ay ft mwanafAPamoja Mkuu!
Hiyo ngoma kipindi hicho naisikiliza brother angu akaniambia hapana usisikilize!
Hapo chini ya hio screenshot kwenye redline mwaka 2006 huo, walikuwa online ni Nyani Ngabu ,JokaKuu na we ngine.
View attachment 3204314
Hahaha!Hii ngoma mzee nilikua nikisikia afu kuna Ile Hi ya duly sykes😅
Hahaha!
Anazunguka kwenye ki scooter (motorcycle)...
Naikumbuka sana hii ngoma!