Wakongwe wenzangu mnakumbuka wapi?

Wakongwe wenzangu mnakumbuka wapi?

Kwa sisi weusi ili uonekane wewe ni mpambanaji lazima kwenye hadithi zako ziwemo zile sentences za maisha fulani magumu from scratch mtu mwenye aliyepewa mabilion na wazazi tz anadharaulika kuliko mtu aliyeanzia matopeni
Sasa tutoe hiyo fikra ya kuonekana wapambanaji mbele za watu na tuishi maisha yetu wenyewe
 
We
View attachment 3204285
Msn Messenger 2007, kipindi hiko watoto wadogo mnafundishwa "that is an orange" sisi tulikuwa humu msn tukisoma habari za mambele na kufuatilia ulimwengu unaendaje..




View attachment 3204286
Hii marafiki, juu hapo kuna kitangazo cha Buzz, miaka ya 2005/2006 kama sijasahau... mwanzoni iliitwa darchat kama sijasahau... watoto wengi humu kipindi hiki mnajisaidia kwenye nguo... kwa kipindi hiko hii ndio ilikuwa kama tinder sasa, nilipata manzi anaitwa Mwaju miaka hio sintosahau..





View attachment 3204288
Bongo5 miaka ya 2007/2008..




View attachment 3204289
Darhotwire miaka ya 2007/8/9... hapa wakongwe wengi mnakumbuka vingi sana kabla ya jamiiforums...




View attachment 3204290
Tanzatl, hii nadhani ilikuwa miaka ya 2004 kama sijasahu niko primary school ,.. kipindi hiko unamaliza darasa la saba una ndevu ushanyoa hadi upele kwenye kidevu..




View attachment 3204291
Jamboforums kabla haijavamiwa na watoto wa 2000s, hapa ni 2006/2007 nadhani kabla haijawa jamiiforums...




View attachment 3204292
Jamboforums 2006.... now jamiiforums, kipindi hiko wanafanya na donation ku run site...




View attachment 3204293
Business times au bcstimes.com--- hapa miaka ya 2004/2005 hata jamiiforums haipo, humu ndipo tulikuwa tunaingia kusoma habari, udaku, magazeti n.k




View attachment 3204297
Hii ni hi5 miaka ya 2002 kama sijasahau au 2003...



View attachment 3204299
Hii ni jambonet miaka ya 2004 i think so... hapa ilikuwa page under maintenence... nakumbuka...


View attachment 3204302
Hii ilikuwa ni YoungAfricans, miaka ya early 2000s.. kipindi hicho wengine ndio mnazaliwa halafu leo mnatutukana humu jamiiforums...
We mwenyewe kumbe dogo tu. Watu tuna hotmail 98. Umetumia windows at 95? Mac enzi hizo zinaandikwa macintosh. Ustishe watu dogo.
 
View attachment 3204285
Msn Messenger 2007, kipindi hiko watoto wadogo mnafundishwa "that is an orange" sisi tulikuwa humu msn tukisoma habari za mambele na kufuatilia ulimwengu unaendaje..




View attachment 3204286
Hii marafiki, juu hapo kuna kitangazo cha Buzz, miaka ya 2005/2006 kama sijasahau... mwanzoni iliitwa darchat kama sijasahau... watoto wengi humu kipindi hiki mnajisaidia kwenye nguo... kwa kipindi hiko hii ndio ilikuwa kama tinder sasa, nilipata manzi anaitwa Mwaju miaka hio sintosahau..





View attachment 3204288
Bongo5 miaka ya 2007/2008..




View attachment 3204289
Darhotwire miaka ya 2007/8/9... hapa wakongwe wengi mnakumbuka vingi sana kabla ya jamiiforums...




View attachment 3204290
Tanzatl, hii nadhani ilikuwa miaka ya 2004 kama sijasahu niko primary school ,.. kipindi hiko unamaliza darasa la saba una ndevu ushanyoa hadi upele kwenye kidevu..




View attachment 3204291
Jamboforums kabla haijavamiwa na watoto wa 2000s, hapa ni 2006/2007 nadhani kabla haijawa jamiiforums...




View attachment 3204292
Jamboforums 2006.... now jamiiforums, kipindi hiko wanafanya na donation ku run site...




View attachment 3204293
Business times au bcstimes.com--- hapa miaka ya 2004/2005 hata jamiiforums haipo, humu ndipo tulikuwa tunaingia kusoma habari, udaku, magazeti n.k




View attachment 3204297
Hii ni hi5 miaka ya 2002 kama sijasahau au 2003...



View attachment 3204299
Hii ni jambonet miaka ya 2004 i think so... hapa ilikuwa page under maintenence... nakumbuka...


View attachment 3204302
Hii ilikuwa ni YoungAfricans, miaka ya early 2000s.. kipindi hicho wengine ndio mnazaliwa halafu leo mnatutukana humu jamiiforums...
Matunda cafe Morogoro
Computer no 14
 
Kipindi hiko tuna access ya internet na computer zipo Ghetto , inabidi wawe na heshima aisee... miaka hio kumiliki computer au una ufahamu kuhusu TEHAMA unakwenda internet cafe inabidi tupewe heshima...
Aah Mkuu! Mbona mimi nina 32 na kipindi hicho computer home ilikuwepo na nimeichezea sana?! 😃

Na mimi nipewe heshima yangu?! 😁

Kwenye computer nilikuwa nacheza game ya Need for Speed na ile game risasi zikiisha inasema "Reload" "Reload" nimeshaisahau. Na game ya kufundisha kuzoea herufi za kwenye keyboard kwa haraka.

Ila umenikumbusha mbalii! Kipindi hicho nilikuwa navheza PS hatari!
Game ya super Mario, God of Hand, God of War, Motor Kombat, Tomb Rider, Grand Theft, Tekken Tag, Harry Porter n.k 😃

Kulikuwa na mwamba mmoja hivi alikuwa anasoma shule moja na brother alikuwa ni jirani yetu.

Mshikaji chumbani kwake alinunua vyombo vya kurekodia mziki, alikuwa anatengeneza biti!

Nicheke kwanza nisiendelee!!!

Ha....ha...hahaha!
 
2007 nilikua kijana mtanashati mwenye miaka 11 nasoma darasa la 4 na ninapendwa na Jackline mtoto wa mwalimu wa maarifa ya jamii
 
Back
Top Bottom