min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kaka mkubwa kubali yaishe tu.Acha kujizeesha mkuu🤣🤣🤣 2000+ si juzi tu tukiwa vijana wadogo kabisa, leo ndio wazee-vijana bado tupo.. ikifika 2050 hapo kweli tutaitwa babu ile ya ukweli!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka mkubwa kubali yaishe tu.Acha kujizeesha mkuu🤣🤣🤣 2000+ si juzi tu tukiwa vijana wadogo kabisa, leo ndio wazee-vijana bado tupo.. ikifika 2050 hapo kweli tutaitwa babu ile ya ukweli!
kwamba babu ile ya ukweli 🤣 🤣 🤣Acha kujizeesha mkuu🤣🤣🤣 2000+ si juzi tu tukiwa vijana wadogo kabisa, leo ndio wazee-vijana bado tupo.. ikifika 2050 hapo kweli tutaitwa babu ile ya ukweli!
Unaongelea takriban miaka 20 nyuma halafu unasema bado. Vitoto vilivyazaliwa early 2000's ikiwa tunaviona sasa hivi tunavitolea mate, huo uzee tayari.Acha kujizeesha mkuu🤣🤣🤣 2000+ si juzi tu tukiwa vijana wadogo kabisa, leo ndio wazee-vijana bado tupo.. ikifika 2050 hapo kweli tutaitwa babu ile ya ukweli!
Humu ndani ukiwa na stress zinaisha 🤣🤣🤣🤣🤣Sema kuna mdau kanichekesha kinoma "ety kipindi hicho😅Gen z hawa Chagui pa kunyea😅Ila ufala mwingi sana
Sikubali mtani, subiri kidogo kuna namna ubabu utakuja tu wenyewe🤣🤣Kaka mkubwa kubali yaishe tu.
AIsee!Unaongelea takriban miaka 20 nyuma halafu unasema bado. Vitoto vilivyazaliwa early 2000's ikiwa tunaviona sasa hivi tunavitolea mate, huo uzee tayari.
Earlier 2000 ipi kuwa specific mzeeUnaongelea takriban miaka 20 nyuma halafu unasema bado. Vitoto vilivyazaliwa early 2000's ikiwa tunaviona sasa hivi tunavitolea mate, huo uzee tayari.
Kama bado unavitolea vitoto vya 2000 mate bado hujazeeka mkuu. Ubabu ukija hutatoa mate tena🤣🤣Unaongelea takriban miaka 20 nyuma halafu unasema bado. Vitoto vilivyazaliwa early 2000's ikiwa tunaviona sasa hivi tunavitolea mate, huo uzee tayari.
Ila vijana wasasa naona kama wanaezeeka haraka sana ,vijana wengi miaka 30 tu kitambi kikubwa na upara sijui shida ni nini?Sikubali mtani, subiri kidogo kuna namna ubabu utakuja tu wenyewe🤣🤣
Halafu sijui imekuwaje ni kama mme cross multiplication, vijana sasa wanataka mishangazi, vitoto vya alfu mbili vinataka wanaume watu wazima kwenye 40s/50s sasa sijui shida ni nini?Eeh babu ile yenyewe, leo tunakutana na vitoto tukiviambia sisi ni wazee vinatuambia "hem toa ujinga wako hapa, we bado mbichi kabisa"🤣🤣🤣 Mzee mwenzangu Grahams anayapitia haya kila siku.
Yan bonge la uzembe nilijilaumu sana, yeye yupo na wateja wake anafanya final touch nasi tunasubir zamu yetu kwenda kwa jajiUlishindwaje kumchek huu uzembe kabisa man
Anatakiwa alegeze ubongo tu , ng'ombe hazeeki maini.AIsee!
Na kuna Gen z mmoja humu kasema anawaheshimu sana shida mnafungua nyuzi zikisema mnatafuna vitoto vya alfu mbili... 🤣
Ndio kina nyie, vipara na vitambi hata hamjafika 40🤣Ila vijana wasasa naona kama wanaezeeka haraka sana ,vijana wengi miaka 30 tu kitambi kikubwa na upara sijui shida ni nini?
moyo hauzeeki bwashee.Kama bado unavitolea vitoto vya 2000 mate bado hujazeeka mkuu. Ubabu ukija hutatoa mate tena🤣🤣
Tunabadilishana mzee,ila mimi naona napenda vitoto vya 2000 na wao wananipenda pia 😂😂Halafu sijui imekuwaje ni kama mme cross multiplication, vijana sasa wanataka mishangazi, vitoto vya alfu mbili vinataka wanaume watu wazima kwenye 40s/50s sasa sijui shida ni nini?
Yan mtu wa miaka 38 mpaka 49 kuita Mvi ndo mnauita uzee😅hivi mlishamuona mzee makamba nyinyiKama bado unavitolea vitoto vya 2000 mate bado hujazeeka mkuu. Ubabu ukija hutatoa mate tena🤣🤣
Vinatupenda sana hivi vitoto, japo binafsi yangu sivikubali hata kidogo. Hao wa 90s tu siwataki.Halafu sijui imekuwaje ni kama mme cross multiplication, vijana sasa wanataka mishangazi, vitoto vya alfu mbili vinataka wanaume watu wazima kwenye 40s/50s sasa sijui shida ni nini?
Early 2000s nadhani ni 2004/2005 kurudi nyuma, binti wa 2005 hivi sasa hata wewe udenda unakutoka, sijui hawa watoto wa sasa hivi wanakula nini...Earlier 2000 ipi kuwa specific mzee