Nsera Ndawani
Senior Member
- May 5, 2013
- 136
- 38
umeme wa solar unasaidia sana maeneo ambayo umeme haujafika. Na pia kwa mjini kwa tatizo la kukatika umeme solar ni suluhisho. Kwa wale wanaohitaji huduma hii ya solar kwa mkopo tunawakaribisha tuna uwezo wa kufunga sehemu yeyote tanzania. Gharama zetu ni nafuu sana