jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Ukifanya ufuatiliaji na uchambuzi wa kisayansi kwa watu wanaokosoa uongozi wa hayati John Pombe Magufuli utagundua common characteristic au feature moja muhimu. Wengi wa wakosoaji walinyooshwa katika maslahi yao fulani ya kibinafsi na sio ya umma.
Ukosoaji huu hauna mashiko kwa sababu basis yake ni ubinafsi na sio umma
Ukosoaji huu hauna mashiko kwa sababu basis yake ni ubinafsi na sio umma