Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huyu na kidoti nani mjane mdogo zaidi?Mjane mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu na kidoti nani mjane mdogo zaidi?Mjane mdogo
Yule wa TemekeHuyu na kidoti nani mjane mdogo zaidi?
.....watu wanaokosoa uongozi wa hayati John Pombe Magufuli utagundua Wengi wa wakosoaji walinyooshwa katika maslahi yao fulani ya kibinafsi na sio ya umma.
Ila ni makada wa CCM wenzake ndio wame mchinjia baharini, inatupa picha kamili ya wadau wa ccmUkifanya ufuatiliaji na uchambuzi wa kisayansi kwa watu wanaokosoa uongozi wa hayati John Pombe Magufuli utagundua common characteristic au feature moja muhimu. Wengi wa wakosoaji walinyooshwa katika maslahi yao fulani ya kibinafsi na sio ya umma.
Ukosoaji huu hauna mashiko kwa sababu basis yake ni ubinafsi na sio umma
Shindwa Pepo punda, unamlinganishaje na mwalimu?Kabisa kama Nyerere
waliokuwa kimshangilia JPM kabla ya kifo badaa ya kufa akaja rasi mwinfine ndio wanamkosoa JPM namkushangilia SSH siku SSH akindoka akaja mtu mwingine watafanya hivyoLeo ni moja ya siku chache ninazo kuunga mkono. Wale waliokuwa wanamsifu akiwa hai walikuwa wanamsifu kwa sababu ya matumbo yao, na hawa wanaokosoa sasa nao ni hivyo hivyo. Ndiyo maana nasema alifanya makosa sana kudhani upinzani ndiyo maadui zake. Kungekuwa na uwezo wa kufufua watu akirudi angemfanya Lissu makamu wa rais.