Kwamba hata wakitembea uchi bado watakuwa sahihi ila tu ni udhaifu wa mtoa mada?Mkuu, mwanamke Sio chombo cha starehe kwa mwanaume! Ukilifahamu hilo wala mambo ya mavazi ya wanawake hayatakusumbua!
Nachoona hapa udhaifu wako unataka kuwasingizia wanawake!
Hapa mtoa mada sijakuelewa yan wakristo wanapuuza maandiko au wanawake nd wanapuuza mbona kama sijakuelewa man unawazungumzia wakristo alafu unapost wanawake kma ni wanawake wanawake wa dini zote mbona wanavaa hivyo
Hapa mtoa mada sijakuelewa yan wakristo wanapuuza maandiko au wanawake nd wanapuuza mbona kama sijakuelewa man unawazungumzia wakristo alafu unapost wanawake kma ni wanawake wanawake wa dini zote mbona wanavaa hivyo
Na mwisho wa siku dini ni imani unaweza kuvaa hay mavaz unayosememea na kiiman ukawa sifur tu
Mkuu hakuna mahali nimesema watembee uchi! Mtoa mada anaongelea mavazi, like suruali sijui vimini nk! Nachomkumbusha mleta mada mavazi ya kubana, sijui suruali au vimini wakivaa haimaanishi wapo uchi. Kama yeye anapagawa na suruali au kimini huo ni udhaifu kama wengine pia wanavopagawa na macho au nywele za wanawake!Kwamba hata wakitembea uchi bado watakuwa sahihi ila tu ni udhaifu wa mtoa mada?
Mungu amemuumba mwanamke na kuelekezwa ajisitiri kwakuwa mwili wake sio wa kuonekana kwa kila mwanaume bali kwa mwanaume maalumu kwa ajili yake.
HahaaUmepiga picha ukumbini kwenye sherehe unaingizia kanisa, Jiheshimu kijana
Mkuu hakuna mahali nimesema watembee uchi! Mtoa mada anaongelea mavazi, like suruali sijui vimini nk! Nachomkumbusha mleta mada mavazi ya kubana, sijui suruali au vimini wakivaa haimaanishi wapo uchi. Kama yeye anapagawa na suruali au kimini huo ni udhaifu kama wengine pia wanavopagawa na macho au nywele za wanawake!
Narudia uchi wa mwanamke na wa mwanaume unajulikana ni sehemu zipi!
Sijakuelewa mkulungwa!! Nimetaja mjini hiyo kufikiri ni wapi imetoka wapi ilhali mahali nimetaja mzeebaba!?na mijini ndipo kuna ukahaba, kwani ulifikiri ni wapi?
Rejea comment no #96Sijakuelewa mkulungwa!! Nimetaja mjini hiyo kufikiri ni wapi imetoka wapi ilhali mahali nimetaja mzeebaba!?
BORA KUABUDU MAVI KULIKO KUWA MUISLAMUJibu eti Yesu haangalii mavazi , hili swala hata mimi kunipa wakati mgumu maana mtu unaweza kukutana na mdada mkiristo dini imemkolea ila mavazi yake sasa mtihani mtupu.
Ukiwa mjinga kiasi hiki haustaili kujibiwa.BORA KUABUDU MAVI KULIKO KUWA MUISLAMU
NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU
Bora kuwa KAFIRI na kuabudu MAVI kuliko kuwa MUISLAMU.Ukiwa mjinga kiasi hiki haustaili kujibiwa.View attachment 2428401
Ujinga wako umefikia kiwango kikubwa sana na haina haja ya mjadala na mtu kama wewe.View attachment 2428403
πππ #Nakupuuza rasmi kuanzia sasa maana huna akili ,hutoniona napoteza muda wangu kukuQuote jinga kama wewe.Bora kuwa KAFIRI na kuabudu MAVI kuliko kuwa MUISLAMU.
NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU.
YESUUUU AKBAR YESUU AKBAAAAARRRRR!
Yesuuuu Akbar Yesuuu AkbarπππππππΏππΏππΏπππ #Nakupuuza rasmi kuanzia sasa maana huna akili ,hutoniona napoteza muda wangu kukuQuote jinga kama wewe.
moja ya comment za kijinga zaidi, i can't appreciate this.Una uhakika na usemalo ndgu?
Unaongelea mavazi kwenye nyumba za ibada au mavazi nje ya nyumba za ibada!?
Maana huku nje ni wote tu uvaaji ni hovyo, haina dini hiyo. Kina zuhura(zuchu) si waislam wale mavazi yao yakoje??.
Na huu uzi unashambulia watu na sio ukristo, ukristo sio hao watu unaowataja. Ukianza kuhukumu imani ya watu kwa kuangalia matendo ya watu wachache unakua hujielewi.
Mavazi ni janga kwa wote tu hapa tz.
Na pia kama wewe ni mpenda ngono hata afiche vyote utatamani hata kucha tu.
Ukiona hadi umefikia hatua ya kumuwazia mama yako angevaa hivyo ungehisi vipi basi ukapimwe akili.
Mwanaume unaejitambua huwezi tamani damu yako(mama/dada au wale ndgu wa karibu).
Ukiona umefikia level hizo, ujue unashindwa kucontrol hisia zako na unaweza kumpanda yeyote.
good π comment, yap it's good saidni kweli
ila haifai kumtupa mtoto na maji
imani bila matendo imekufa
nionyeshe imani yako
mimi ntakuonyesha imani na matendo
huwezi ukasema unamheshimu mtu alafu unamtukana tena!!
huwezi kusema una imani kwa Mungu na kisha unaenda kinyume
kahaba avae uchi, na mcha Mungu avae uchi wapi na wapi?
Ndo ukweli mchungu huo, kubali kataa ndio iko hivyo.moja ya comment za kijinga zaidi, i can't appreciate this.