Wakristo kimavazi tunazidi kupotea, Mavazi yaliyoshauriwa kwenye maandiko yamepuuzwa, Pongezi kwa Waislam kuendela kuvaa mavazi yanayositiri

Mkuu, mwanamke Sio chombo cha starehe kwa mwanaume! Ukilifahamu hilo wala mambo ya mavazi ya wanawake hayatakusumbua!
Nachoona hapa udhaifu wako unataka kuwasingizia wanawake!
Kwamba hata wakitembea uchi bado watakuwa sahihi ila tu ni udhaifu wa mtoa mada?

Mungu amemuumba mwanamke na kuelekezwa ajisitiri kwakuwa mwili wake sio wa kuonekana kwa kila mwanaume bali kwa mwanaume maalumu kwa ajili yake.
 
Hapa mtoa mada sijakuelewa yan wakristo wanapuuza maandiko au wanawake nd wanapuuza mbona kama sijakuelewa man unawazungumzia wakristo alafu unapost wanawake kma ni wanawake wanawake wa dini zote mbona wanavaa hivyo
Na mwisho wa siku dini ni imani unaweza kuvaa hay mavaz unayosememea na kiiman ukawa sifur tu
 

ni kweli

ila haifai kumtupa mtoto na maji

imani bila matendo imekufa

nionyeshe imani yako

mimi ntakuonyesha imani na matendo

huwezi ukasema unamheshimu mtu alafu unamtukana tena!!

huwezi kusema una imani kwa Mungu na kisha unaenda kinyume


kahaba avae uchi, na mcha Mungu avae uchi wapi na wapi?
 
Kwamba hata wakitembea uchi bado watakuwa sahihi ila tu ni udhaifu wa mtoa mada?

Mungu amemuumba mwanamke na kuelekezwa ajisitiri kwakuwa mwili wake sio wa kuonekana kwa kila mwanaume bali kwa mwanaume maalumu kwa ajili yake.
Mkuu hakuna mahali nimesema watembee uchi! Mtoa mada anaongelea mavazi, like suruali sijui vimini nk! Nachomkumbusha mleta mada mavazi ya kubana, sijui suruali au vimini wakivaa haimaanishi wapo uchi. Kama yeye anapagawa na suruali au kimini huo ni udhaifu kama wengine pia wanavopagawa na macho au nywele za wanawake!
Narudia uchi wa mwanamke na wa mwanaume unajulikana ni sehemu zipi!
 

mkuu ishu sio kupagawa

ishu ni mwanamke kujiheshimu

wao wenyewe wanajishtukia ndo maana wakienda ukweni hawavai hivo au wanafunga kanga

na kwenye dala dala utaona wanavuta vuta sketi ishuke chini!!



 
Jibu eti Yesu haangalii mavazi , hili swala hata mimi kunipa wakati mgumu maana mtu unaweza kukutana na mdada mkiristo dini imemkolea ila mavazi yake sasa mtihani mtupu.
BORA KUABUDU MAVI KULIKO KUWA MUISLAMU

NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU
 
Bora kuwa KAFIRI na kuabudu MAVI kuliko kuwa MUISLAMU.

NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU.

YESUUUU AKBAR YESUU AKBAAAAARRRRR!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ #Nakupuuza rasmi kuanzia sasa maana huna akili ,hutoniona napoteza muda wangu kukuQuote jinga kama wewe.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ #Nakupuuza rasmi kuanzia sasa maana huna akili ,hutoniona napoteza muda wangu kukuQuote jinga kama wewe.
Yesuuuu Akbar Yesuuu AkbarπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ™ŒπŸΏπŸ‘ŽπŸΏπŸ‘ŒπŸΏ
 
moja ya comment za kijinga zaidi, i can't appreciate this.
 
good πŸ‘ comment, yap it's good said
 
Hii kitu ya kujisitiri wanawake ndo imefanya tuwataman wale wachache wanao kaa uchi , wote wangekua wanakaa uchi ingekua kawaida tu wala tusingewaka tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…