Wakristo kuleni vya kuchinja wenyewe katika Krimas na mwaka mpya

Wakristo kuleni vya kuchinja wenyewe katika Krimas na mwaka mpya

Watu mko serious na maisha kiasi kwamba kila kitu kinahitaji debate.. Anyways ukaribie pande hizi naona msosi tayari 😋😋
Mkuu hii kitu ni serious imewahi kuleta taharuki Kanda ya ziwa na Tanzania Kwa ujumla. Ukweli hapa ni suala zito la kiimani ambapo watu wengine wanakula vitu ambavyo vimeandaliwa Kwa miungu ya watu bila kujua au kujali. Wakristo ama ni watu wa kupuuzia mambo ya kiroho au wenye upendo na amani Kwa watu wote. ukweli hizi nyama za mabuchani zinasambaza roho nyingine. Ni maombi tu ndiyo yanayosaidia!
Kuna watu wa miungu mingine ukiwagusa kwenye eneo hili wanaweza kutoa Roho ya Mtu.
 
Hizi dini zimetufikisha pabaya.

Yaani kuna wanaoona wao ni watakatifu kuliko wengine kwa dini za kuletewa.
 
Sherehe za krismasi na mwaka mpya ni ibada maalumu Kwa wakristo. Ibada itakuwa ya maana iwapo mtakula Vyakula vilivyoandaliwa Kwa maombi yenu bila kuchanganya maombi ya miungu wengine. Lakini Kwa upendo mkubwa Msisahau kununua nyama za mabuchani Kwa ajili ya wageni wasio wa Imani yenu. Msiwalishe nyama mliyoandaa Kwa Dua zenu.
Nawatakia heri ya krismasi na mwaka mpya.
Kwa hiyo, kuna wakristo wanatakiwa wale nyama zilizoandaliwa kwa imani nyingine,na hizo imani nyingine hazitakiwi kula nyama ilioandaliwa kwa imani ya wakristo!
 
Sherehe za krismasi na mwaka mpya ni ibada maalumu Kwa wakristo. Ibada itakuwa ya maana iwapo mtakula Vyakula vilivyoandaliwa Kwa maombi yenu bila kuchanganya maombi ya miungu wengine. Lakini Kwa upendo mkubwa Msisahau kununua nyama za mabuchani Kwa ajili ya wageni wasio wa Imani yenu. Msiwalishe nyama mliyoandaa Kwa Dua zenu.
Nawatakia heri ya krismasi na mwaka mpya.
Japo mi si muumini wa dini za watu na miungu wengine wasiofanana nami, sielewi kwanini mtu kuchinja kuku ili ule na wageni eti mpaka umtafute Muislam achinje, for what na ili iweje wakati kitoweo nimenunua mwenyewe kwa hela zangu mwenyewe? Tuachane na ujinga huu, hakuna aliye kamili mbele ya Mungu, mengine yote haya tunajitakia wenyewe ujinga tu. I will never muita Muislam au Mkristu anichinjie kuku ambaye nimemnunua mwenyewe nile na familia yangu.
 
Hizi dini zimetufikisha pabaya.

Yaani kuna wanaoona wao ni watakatifu kuliko wengine kwa dini za kuletewa.
Ndiyo maana tumekuwa wajinga kupindukia, mtu kitu si chako na hujuwi chochote juu ya hizo dini eti unazishabikia kama zako vile. Mitume wote ni wa kwao sisi tumebaki kuwa waumini hewa tu. Kwa kweli tukiachana na hizi dini kama Wajapan na Wachina na jamii zingine, tutafika mbali sana kimaendeleo kwa sababu hizi dini hufanya watu kuwa wajinga.
 
wakristo ni watu wenye uvumilivu zaidi kwa watu wa imani nyingine na wanaziheshimu sana.

Yesu aliagiza tuwapende majirani zetu kuliko tunavyojipenda sisi,inafikia hatua mkristo anaona apeleke jogoo akachinjwe na muislam ili asijeshindwa kumpa chakula kwa kigezo kwamba hakikuwa halali kwake.
 
Japo mi si muumini wa dini za watu na miungu wengine wasiofanana nami, sielewi kwanini mtu kuchinja kuku ili ule na wageni eti mpaka umtafute Muislam achinje, for what na ili iweje wakati kitoweo nimenunua mwenyewe kwa hela zangu mwenyewe? Tuachane na ujinga huu, hakuna aliye kamili mbele ya Mungu, mengine yote haya tunajitakia wenyewe ujinga tu. I will never muita Muislam au Mkristu anichinjie kuku ambaye nimemnunua mwenyewe nile na familia yangu.
mkuu kweli kabisa ni ujinga,lakini watu hufanya hivyo sababu watakapohitajika kumpatia chakula huyo muislam kusiwepo namna yoyote ya kukitilia shaka chakula husika.
si kujishusha wala kuwa mjinga,ni kuonyesha kwamba wewe ni muumini wa upendo kielelezo cha Yesu mwenyewe.
 
mkuu kweli kabisa ni ujinga,lakini watu hufanya hivyo sababu watakapohitajika kumpatia chakula huyo muislam kusiwepo namna yoyote ya kukitilia shaka chakula husika.
si kujishusha wala kuwa mjinga,ni kuonyesha kwamba wewe ni muumini wa upendo kielelezo cha Yesu mwenyewe.
I don't really care, kama ni mgeni wangu na umekuja kwangu utakula kile ninachokula mimi kama hutaki si lazima ule. Huku ni kuendekeza ujinga nisio utaka, eti mtu mwafrika unajiita Muislam au Mkristu....get the fu.ck outta here.
 
Back
Top Bottom